Bar ya Aunty Ezekiel yafungwa

Unaleta nadharia za darasani wakati huo ujasiriamali unaosema ni tofauti na huu wanaoufanya hawa wadangaji,hayo uliyoandika sio kwamba ndio sababu ya kufungwa hiyo bar bali mdhamini kachukua chake,
 
Hahaaww
Biashara ni nyoko, yaani ukiona mtu mjini anaendesha maisha yake na analipa bills zake kwa biashara yake tu mpe shkamoo maana anapambana sana. Huenda untie ameenda mapumziko na Iyobo wake na hawaamini wahudumu ni muda hawajakutanisha jinsia zao.
 
Nimeipenda hii
 
Nakumbuka mitaa ya kwa kule mbele kulikuwaga na bar ya blue palms enzi hizo ilikua inafanya vizuri sana sijui ilikuwaje yule mzungu akafunga
 
Binamu y kwel hay ? Mie naogopa ujue[emoji23][emoji23]
Binamu habari ndo hiyo fatilia source zako utaona yaliyomo yamo. Mbn hata birthday ya Biskuti uncle sponsa ndo alifanya na akamyima mama mtu kumualika mkata viuno wa Diamond
 
Acha ujinga wa kubisha .km hujui tulia uelekezwe ..et Kuna kalibu inayoelezea umbal ...
we jamaa unajifanya perfectionist kumbe mbugila mbugila tu kuna kalibu inayoelezea umbali na karibu ya ukarimu
 
Hata coca cola waliuza chupa 7 tuu walipoanza
 
This is the best of the best comment ever,business needs too much hustling and bustling towards success!
 
Biashara ni nyoko, yaani ukiona mtu mjini anaendesha maisha yake na analipa bills zake kwa biashara yake tu mpe shkamoo maana anapambana sana. Huenda untie ameenda mapumziko na Iyobo wake na hawaamini wahudumu ni muda hawajakutanisha jinsia zao.
Noma sana!
 
Hali ngumu ya uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…