Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bar ya Boardroom and Lodge iliyopo Sinza imeshika moto, gari la zimamoto limefika na shughuli ya kuokoa mali inaendelea.
View attachment 1994636
Daah asante tushapoaPole kwa wahanga
Ulikuwa unakunywa muda huo inashika moto?.
Hongera BMAX lounge sasa Sinza ni yako. Pambana mzee.
Ila nadhani bar haijapata madhara nadhani leo dawa ya moto ni moto
So sadJuzi kuna mdau aliitaja hiyo bar kama chimbo makini kwa totoz,huu ni msiba mzito sana kwa Zero Iq na nduguze!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Da kaka hili jambo ni zito sana kwann unamtuhumu mtu ushoga wakati ni mwanaune mwenzio. Tukutane mahakamani kwa hili lazima ukadhibitishie mahakamani huwezi kumchafua ndugu yangu hivi . NakuahidiBoardroom ni Bar ya shoga mmoja anaitwa ABDUEL
Unataka kumaanisha nn ndg mtukutubila shaka walikatia bima