Bar ya Royal tour Iringa mjini

Hakuna manager wa bar kuna. Kuna msimamizi wa bar ambae huitwa manager. Acha kuwa dunisha wasomi.
 
Is this forum still of great thinkers anymore? , Kwa mtazamo na uchambuzi wa kile kilicholalamikiwa inaonekana una mgongano wa maslahi na Meneja wa watu. Mambo mengine ni aibu na wala siyo ya kuleta kwenye mtandao wenye hadhi yake kama huu. Kwa mteja makini wa Bar unapigwa na kiti na muhudumu bado upo tu.
 
Wewe kama utaacha kwenda ni wewe ila mimi nitaendelea kwenda maana huduma zao sio mbaya na dada zangu wa hapa hawana baya na jinsia me , wewe kuna mahali ulijichanganya hasa kwenye ukuwadi maana hawapendi kukuwadiwa ila wanapenda mwanaume anayejiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…