Bar yenye Nyama choma na Mziki Magomeni

Bar yenye Nyama choma na Mziki Magomeni

Geniustin

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
4,371
Reaction score
2,834
Wakuu, Husikeni na somo tajwa hapo juu.

Naona kuelekezwa ama jina la Bar yenye nyama choma na muziki mzuri maeneo ya kuanzia Shekilango kwenda kule Kariakoo (Eneo lolote la Magomeni ama Sinza, Manzese.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona umetaja Manzese hapo. Kumbuka Manzese kuna sehemu kuna nyama choma ya buku 2 humalizi
 
Wakuu, Husikeni na somo tajwa hapo juu.

Naona kuelekezwa ama jina la Bar yenye nyama choma na muziki mzuri maeneo ya kuanzia Shekilango kwenda kule Kariakoo (Eneo lolote la Magomeni ama Sinza, Manzese.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Rose garden iko karibu na chuo cha ttcl cha zamani au karibu na gereji ya magari ya wachina inayoitwa Spring city pale unapata kila kitu utakachohitaji baada ya moja baridi moja moto.
 
Nenda Rose garden iko karibu na chuo cha ttcl cha zamani au karibu na gereji ya magari ya wachina inayoitwa Spring city pale unapata kila kitu utakachohitaji baada ya moja baridi moja moto.
Nyap zipo ? Mimi sitaki wale wa kupotezeana muda kutongozana na kupeana namba za simu. Nataka kama fundi kinyozi. Unatoa pesa unanyolewa. Sio fundi wa kushona nguo. Kila siku njoo kesho
 
Back
Top Bottom