Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watu tunachangia pato la taifa wewe unasema akaze, kuwa mzalendo basi atleast bia 3 kwa siku.
Ipo siku utaling'ong'a hadi jeneza lako sababu ya mazoea ya dhulma na ushabikiAlikuwa mkwepa kodi huyo
Ha ha ha haDuh! Haya ni maneno makali sana.. Ulitakiwa uyachovye baharini mara 7 kabla ya kuyaleta hapa JF.
Hii utasubiri sana, hivi nini kinaendelea pale? Maana biashara yote ya Sinza sasa imehamia Tabata, Sinza inadidimia huku Tabata ikiibuka kwa kasi, Tabata oyeee..!Na Sinza tunataka kona bar yetu irudi.. Bia za pale ndo tamu
hahahahahahahaaaHii mitoto ya Bashite Bashite bhana sasa we kinakuuma nini wenzio kupiga vyombo??
acha roho la kichawi wewe.Si mnalalamika hela hamna mfukoni??