Bara la Afrika linatoa malighafi gani za maana?

Bara la Afrika linatoa malighafi gani za maana?

Usipotoshe ili tu kushinda ubishi. Huo ndiyo utoto. Russia na Canada zinazalisha zaidi ya 50% ya almasi duniani.
Kuzalisha sio reserve, unaweza uka zalisha kikubwa ila ukawa kwenye Ardhi yako una Madini machache.

Wazungu hawaji kuchukua Rasilimali sababu tuna zalisha sana bali wanakuja sababu kuna Madini mengi kwenye Ardhi na hayajazalishwa.

Congo peke yake ina Karati milioni 700 za Almasi kwenye Ardhi yake ushahidi toka UN wenyewe

Botswana ana Carat si chini ya Milioni 280,

Nchi pekee ambayo ina Reserve Kubwa kama Congo ni Urusi, that's it, Canada sasa hivi hata data za Reserve hamna tena na production ina decline unless wagundue maeneo mapya.

Wakati Africa Ukitoa Congo na Botswana bado kuna South Africa, Sierra Leone, Angola na nchi nyengine kibao.
 
Kama tu hapa tulivyoaminishwa kuwa tumepata gesi kibao, tutakuwa matajiri. Kumbe hata kwenye top 5 hatupo. Na huko duniani hatuhesabiki kabisa kama watu wenye gesi.
Kwa mtu kilaza amabe hajatembea kuona dunia ilivyo au amabe hafatilii mambo anaaminki Afrika ndio Bara tajiri zaidi kwa rasiliamli na anaamini malighafi zinazotumika kwenye mabara mengine eti zote zimetoka Afrika

Foolish
 
Back
Top Bottom