KERO Barabara iliyojengwa Keko ni ya kupita gari moja tu, gari likiharibika itakuwaje?

KERO Barabara iliyojengwa Keko ni ya kupita gari moja tu, gari likiharibika itakuwaje?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sasa Kama haipitishi magari hata mawili Kuna haja gani ya kujenga. Bora ilivyokuwa mwanzo

Ilivyokuwa mwanzo si hakukuwa na BRT mkuu, maana yake ni kuwa BRT imechukua nafasi ya iliyokuwa barabara ya lami mwanzo

Kama ilivyo barabara ya Msimbazi K'koo, hawakuweza dondosha magorofa yale, ikabidi tu waweke njia moja ya lami kila upande, na waboreshe njia za ndani kwa ndani ziwe michepuko...
 
Ujenzi wa barabara za mwendokasi BRT kwa kutumia mabasi haukuwa uamuzi wa busara. Hizi njia za mwendokasi zingewekwa reli ili trams🚊🚃 zitumike badała ya mabasi. Hii ingekuwa kama kuua ndege wengi kwa jiwe moja, lakini tram iliyounganisha mabehewa matatu hadi manne ingebeba abiria wengi kwa wakati mmoja.
 
Ilivyokuwa mwanzo si hakukuwa na BRT mkuu, maana yake ni kuwa BRT imechukua nafasi ya iliyokuwa barabara ya lami mwanzo

Kama ilivyo barabara ya Msimbazi K'koo, hawakuweza dondosha magorofa yale, ikabidi tu waweke njia moja ya lami kila upande, na waboreshe njia za ndani kwa ndani ziwe michepuko...
Umeona zile kingo, ya msimbazi kingo ni fupi, gari ikiharibika inaweza sogezwa kwenye njia ya mwendokasi, pale no
 
Kama hamna picha ni uzandiki wa kawaida kabisa
 
Wakuu habari zenu,

Nimepita maeneo ya Keko, kuanzia chuo cha Diplomasia kwenda Chang'ombe Mataa, kunajengwa barabara, ya mwendokasi. Lakini barabara ya kawaida sijaielewa, kwenda ni gari moja, kurudi ni gari moja. Hivi ikitokea gari limeharibika njiani itakuwaje?

Wanaohusika naomba mlitafakari hili.

Nawasilisha.
Hata Mimi ile barabara huwa inanipa maswali mengi sana kama hayo

Kitu Cha kushangaza barabara ya mwendokasi ndio imepewa eneo kubwa sana wakati ingewezekana kuibana na kuongeza hizi barabara za pembeni
 
Hata Mimi ile barabara huwa inanipa maswali mengi sana kama hayo

Kitu Cha kushangaza barabara ya mwendokasi ndio imepewa eneo kubwa sana wakati ingewezekana kuibana na kuongeza hizi barabara za pembeni
Ni balaa, sijui tunaenda mbele, au tunarudi nyuma
 
Wakuu habari zenu,

Nimepita maeneo ya Keko, kuanzia chuo cha Diplomasia kwenda Chang'ombe Mataa, kunajengwa barabara, ya mwendokasi. Lakini barabara ya kawaida sijaielewa, kwenda ni gari moja, kurudi ni gari moja. Hivi ikitokea gari limeharibika njiani itakuwaje?

Wanaohusika naomba mlitafakari hili.

Nawasilisha.
...Usiseme gari likiharibika TU! Je Magari yanapishana Kawaida ama Barabara ni Nyembamba mno Hata hayawezi Kupishana???
 
Wakuu habari zenu,

Nimepita maeneo ya Keko, kuanzia chuo cha Diplomasia kwenda Chang'ombe Mataa, kunajengwa barabara, ya mwendokasi. Lakini barabara ya kawaida sijaielewa, kwenda ni gari moja, kurudi ni gari moja. Hivi ikitokea gari limeharibika njiani itakuwaje?

Wanaohusika naomba mlitafakari hili.

Nawasilisha.
Picha iko wapi?
 
Gari moja inapitaje?
Imekuwa kama parking za kwenye nyumba.
 
Waliochukua nchi baada ya Uhuru hawakufanya la maana zaidi ya kukuza kiswahili...

Hawakujihusisha kabisa na upangaji wa miji, hadi leo Awamu ya 6 bado miji yetu haipangwi
 
Na kwa pale keko ukiondoa Veta na yale maghorofa ya zamani ya Nhc kuwalipa fidia upande wa magurumbasi ni watu wachache mno kwa maana pale ddc ni chini ya serikali thru ccm,king palace pia ivo ivo pale sokoni pia chini ya manispaa ambapo mbele yake kuna showroom za fenicha.
Wazee wa kubomoa lipa fidia jenga
Kujenga kwenyewe magumashi
Bomoa jenga bomoa jenga

Ova
 
Habari bila picha/video clip sawa na takataka tu. Dunia y sasa au majungu
 
Back
Top Bottom