Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Sasa Kama haipitishi magari hata mawili Kuna haja gani ya kujenga. Bora ilivyokuwa mwanzo
Ilivyokuwa mwanzo si hakukuwa na BRT mkuu, maana yake ni kuwa BRT imechukua nafasi ya iliyokuwa barabara ya lami mwanzo
Kama ilivyo barabara ya Msimbazi K'koo, hawakuweza dondosha magorofa yale, ikabidi tu waweke njia moja ya lami kila upande, na waboreshe njia za ndani kwa ndani ziwe michepuko...