Sasa Kama haipitishi magari hata mawili Kuna haja gani ya kujenga. Bora ilivyokuwa mwanzo
Umeona zile kingo, ya msimbazi kingo ni fupi, gari ikiharibika inaweza sogezwa kwenye njia ya mwendokasi, pale noIlivyokuwa mwanzo si hakukuwa na BRT mkuu, maana yake ni kuwa BRT imechukua nafasi ya iliyokuwa barabara ya lami mwanzo
Kama ilivyo barabara ya Msimbazi K'koo, hawakuweza dondosha magorofa yale, ikabidi tu waweke njia moja ya lami kila upande, na waboreshe njia za ndani kwa ndani ziwe michepuko...
Hata Mimi ile barabara huwa inanipa maswali mengi sana kama hayoWakuu habari zenu,
Nimepita maeneo ya Keko, kuanzia chuo cha Diplomasia kwenda Chang'ombe Mataa, kunajengwa barabara, ya mwendokasi. Lakini barabara ya kawaida sijaielewa, kwenda ni gari moja, kurudi ni gari moja. Hivi ikitokea gari limeharibika njiani itakuwaje?
Wanaohusika naomba mlitafakari hili.
Nawasilisha.
Ni balaa, sijui tunaenda mbele, au tunarudi nyumaHata Mimi ile barabara huwa inanipa maswali mengi sana kama hayo
Kitu Cha kushangaza barabara ya mwendokasi ndio imepewa eneo kubwa sana wakati ingewezekana kuibana na kuongeza hizi barabara za pembeni
...Usiseme gari likiharibika TU! Je Magari yanapishana Kawaida ama Barabara ni Nyembamba mno Hata hayawezi Kupishana???Wakuu habari zenu,
Nimepita maeneo ya Keko, kuanzia chuo cha Diplomasia kwenda Chang'ombe Mataa, kunajengwa barabara, ya mwendokasi. Lakini barabara ya kawaida sijaielewa, kwenda ni gari moja, kurudi ni gari moja. Hivi ikitokea gari limeharibika njiani itakuwaje?
Wanaohusika naomba mlitafakari hili.
Nawasilisha.
Picha iko wapi?Wakuu habari zenu,
Nimepita maeneo ya Keko, kuanzia chuo cha Diplomasia kwenda Chang'ombe Mataa, kunajengwa barabara, ya mwendokasi. Lakini barabara ya kawaida sijaielewa, kwenda ni gari moja, kurudi ni gari moja. Hivi ikitokea gari limeharibika njiani itakuwaje?
Wanaohusika naomba mlitafakari hili.
Nawasilisha.
Wazee wa kubomoa lipa fidia jengaNa kwa pale keko ukiondoa Veta na yale maghorofa ya zamani ya Nhc kuwalipa fidia upande wa magurumbasi ni watu wachache mno kwa maana pale ddc ni chini ya serikali thru ccm,king palace pia ivo ivo pale sokoni pia chini ya manispaa ambapo mbele yake kuna showroom za fenicha.
Hilo ndio la muhim, ila aking'ang'ania maandishi tu peke yake. Ujue alichoandika ni upuuzi mtupu.weka picha kwanza
Habari bila picha/video clip sawa na takataka tu. Dunia y sasa au majungu