Barabara inayounganisha Tabora na Katavi inafanyiwa hujuma

Barabara inayounganisha Tabora na Katavi inafanyiwa hujuma

Hero

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
3,932
Reaction score
2,839
Pamoja na uzuri wa barabara ilivyojengwa, hivi karibuni mkandarasi alisimika mabango yenye tahadhari za usalama barabarani hasa sehemu hatarishi.

Mabango hayo siyo TU yaliongeza ubora wa barabara bali ilikuwa msaada sana kwa watumiaji barabara hasa nyakati za usiku.

Cha kushangaza sana zimetolewa karibu zote na kusababisha kuhatarisha maisha na mali za watumia barabara hii! Huu uhuni haukubariki kabisa.

Niiombe mamlaka husika ifuatilie hii barabara hasa Toka Ipole-Inyonga-Mpanda kabla haijaleta maafa🙏!
Nawasilisha!
 
Pamoja na uzuri wa barabara ilivyojengwa, hivi karibuni mkandalasi alisimika mabango yenye tahadhari za usalama barabarani hasa sehemu hatarishi! Mabango hayo so TU yaliongeza ubora wa barabara Bali ilikuwa msaada sana kwa watumiaji barabara hasa nyakati za usiku! Cha kushangaza sana zimetolewa karibu zote na kusababisha kuhatarisha maisha na Mali za watumia barabara hii! Huu uhuni haukubariki kabisaa! Niiombe mamlaka husika ifuatilie hii barabara hasa Toka Ipole-Inyonga-Mpanda kabla haijaleta maafa🙏!
Nawasilisha!
Yametolewa lini mbona wiki jana tu nimetumia njia hiyo karibu kila sehemu inayotakiwa kuwa na alama ipo?ila pamependeza sana!!hasa kuanzia hapi sikonge sio mchezo!!
 
Yametolewa lini mbona wiki jana tu nimetumia njia hiyo karibu kila sehemu inayotakiwa kuwa na alama ipo?ila pamependeza sana!!hasa kuanzia hapi sikonge sio mchezo!!
Nafikiri yametolewa jumatano usiku ya wiki iliyopita! Ukipita Sasa hivi unakuta nguzo TU hazina mabango...na ikiachwa hivi hata hizo nguzo zitang'olewa! Yaani kwa uzuri wa barabara hii na madereva wanavyojiachia bila hayo mabango wakakua wanaishia maporini kuwa supu ya Simba!
 
Hivi hiyo barabara inatarajia kukamilika lini? Maana ni shida...............
 
Nafikiri yametolewa jumatano usiku ya wiki iliyopita! Ukipita Sasa hivi unakuta ngozo TU hazina mabango...na ikiachwa hivi hata hizo nguzo zitang'olewa! Yaani kwa uzuri wa barabara hii na madereva wanavyojiachia bila hayo mabango wakakua wanaishia maporini kuwa supu ya Simba!
Hahaha,,,, eti supu ya simba
 
Nafikiri yametolewa jumatano usiku ya wiki iliyopita! Ukipita Sasa hivi unakuta ngozo TU hazina mabango...na ikiachwa hivi hata hizo nguzo zitang'olewa! Yaani kwa uzuri wa barabara hii na madereva wanavyojiachia bila hayo mabango wakakua wanaishia maporini kuwa supu ya Simba!
Hahahaa!!ila naona hata wanyama wakali siku hizi hawapo karibu hapo!!baada ya mto koga pale kuna bango la tahadhari ya wanyama wakali, lakini nimepita pale saa kumi alfajiri namuona jamaa yupo na ng'ombe zake kama 5 hivi, anakatiza barabara!!daaa na kama mchana watu na baiskeli na pikipiki tu!!
 
Pamoja na uzuri wa barabara ilivyojengwa, hivi karibuni mkandarasi alisimika mabango yenye tahadhari za usalama barabarani hasa sehemu hatarishi.

Mabango hayo siyo TU yaliongeza ubora wa barabara bali ilikuwa msaada sana kwa watumiaji barabara hasa nyakati za usiku.

Cha kushangaza sana zimetolewa karibu zote na kusababisha kuhatarisha maisha na mali za watumia barabara hii! Huu uhuni haukubariki kabisa.

Niiombe mamlaka husika ifuatilie hii barabara hasa Toka Ipole-Inyonga-Mpanda kabla haijaleta maafa🙏!
Nawasilisha!
Watzn unawajua au unawaskia? Washakata wameenda kuuza vyuma chakavu .
 
Kuna jamaa yngu yy anaamini mtu mweuc bado yuko kwene zile steji za mabadiliko ya viumbehai zile zinazofundishwa kwene historia. kwa stori km hiz kiaina namm km naelekea kukubaliana nae
 
Mwenye picha ya uo mkeka atuwekee bac jmn nimeimic sn hii seem
 
Al
Hahahaa!!ila naona hata wanyama wakali siku hizi hawapo karibu hapo!!baada ya mto koga pale kuna bango la tahadhari ya wanyama wakali, lakini nimepita pale saa kumi alfajiri namuona jamaa yupo na ng'ombe zake kama 5 hivi, anakatiza barabara!!daaa na kama mchana watu na baiskeli na pikipiki tu!!
Afu ww ujichanganye kujipitisha uone kama hata utamaliza 1km kabla hujawa kitoweo!!!
 
Watzn unawajua au unawaskia? Washakata wameenda kuuza vyuma chakavu .
Duh, mie nkajua ni uhuni wa nkandaras TU huo🤔!
Basi nkandaras kwa kuwa hajakabidhi Hilo barabara afanye kurudia kuweka mabango hayo kabla ya kutokea maafa yakhe!
 
Ila hata hivyo sidhani kama Bado Kuna mamlaka iliyobaki hapa nchini ya kukemea na kurekebisha uhuni huu🤔!
 
Back
Top Bottom