Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Ugali na chapati ni vyakula mhimu Sana Kenya/Tanzania, best places to be .Nilikutana na Professor Femi alifanya kazi UN Nairobi miaka mingi. Aliniambia ugali na chapati vilimshinda kabisa. Alikuwa anakwenda Nigeria au anaagiza unga wa yam.
Sent using Jamii Forums mobile app