KERO Barabara kutoka Pasua - Mahembe inaendelea kuharibika, tunaoitegemea inaweza kutuathiri

KERO Barabara kutoka Pasua - Mahembe inaendelea kuharibika, tunaoitegemea inaweza kutuathiri

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
Jul 13, 2024
Posts
5
Reaction score
3
Nitoe wito kwa mamlaka zinazohusika kushugulikia uharibifu uliofanywa na mvua katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, barabara ya kutokea Pasua kuelekea Mahembe iliyosombwa na maji, imesababisha changamoto kwa Watumiaji wa barabara hiyo.

Licha ya kuwa barabara hiyo inatumiwa na magari ya Halmashauri yamekuwa yakipita hapo bila kujali athari inayoongezeka siku baada ya siku hasa kwa Wananchi wanaotegemea barabara hiyo kuweza kusafirisha mizigo yao.


IMG_20250125_075249.jpg
 
Back
Top Bottom