BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Kuna Barabara imechimbwa, hakuna ujenzi unaoendelea mpaka sasa, hali inayofanya madereva kutumia njia moja hali inayosababisha kero ya foleni na usumbufu mwingine wakati wa kupita.
Wanaohusika na ujenzi huu wajue wanatutesa, waje wamalizie kilichowafanya wachimbe eneo hilo, ni kero kubwa.