Barabara muhumi ya LAPSET ya kwenda Ethiopia yazinduliwa rasmi

Barabara muhumi ya LAPSET ya kwenda Ethiopia yazinduliwa rasmi

Halafu unadanganya eti mlimchukulia hatua, Dk. Lu Youqing bado yupo na waliolalamika ni Chadema, nyie wengine mliishia kutetea huo ujinga wa kujikombakomba kwa Wachina hadi mnawavalisha mavazi ya chama.
Mnakimbilia kukopa mahela kutoka China bila kujuwa historia yao. China ni nchi ya chama kimoja CCP. Huwezi kuwa kiongozi wa serikali kama sio mwanachama wa CCP. Huyo balozi ni mwanachana na mwakilishi wa CCP Tanzania, CCP na CCM ni ndugu moja, balozi amesimama kama mwana CCP, sawa eh.... Haya darasa la leo linaishia hapa.
 
Mnakimbilia kukopa mahela kutoka China bila kujuwa historia yao. China ni nchi ya chama kimoja CCP. Huwezi kuwa kiongozi wa serikali kama sio mwanachama wa CCP. Huyo balozi ni mwanachana na mwakilishi wa CCP Tanzania, CCP na CCM ni ndugu moja, balozi amesimama kama mwana CCP, sawa eh.... Haya darasa la leo linaishia hapa.

Hehehe!! Huwa nacheka sana kila mkitumia hilo neno la 'undugu', yaani nyie watu huwa rahisi kuliwa mpaka mifupa. Mumeishia kuwa nchi maskini sana dunia hii ilhali mna kila kitu kwa sababu ya huo uchizi wa kukenua meno na kuita kila mtu 'ndugu'.
 
Hehehe!! Huwa nacheka sana kila mkitumia hilo neno la 'undugu', yaani nyie watu huwa rahisi kuliwa mpaka mifupa. Mumeishia kuwa nchi maskini sana dunia hii ilhali mna kila kitu kwa sababu ya huo uchizi wa kukenua meno na kuita kila mtu 'ndugu'.

Ni kweli, neno undugu halipo kwenye kamusi ya kabila lolote la Kenya, ndio maana Kenya imekatika vipande vipande halafu mnatafuta mchawi.
 
Ni kweli, neno undugu halipo kwenye kamusi ya kabila lolote la Kenya, ndio maana Kenya imekatika vipande vipande halafu mnatafuta mchawi.

'undugu' na biashara haziendani, mtaendelea kuliwa mpaka mtapikwe, ila kidogo rais wenu wa sasa naona huo upuzi wa undugu ametupa kuleeee na ameweka maslahi ya taifa kwanza.

'Undugu' tunafanya wakati wa mikutano ya kijamii na kunywa na kula lakini likija suala la biashara lazima kununiana.
 
'undugu' na biashara haziendani, mtaendelea kuliwa mpaka mtapikwe, ila kidogo rais wenu wa sasa naona huo upuzi wa undugu ametupa kuleeee na ameweka maslahi ya taifa kwanza.

'Undugu' tunafanya wakati wa mikutano ya kijamii na kunywa na kula lakini likija suala la biashara lazima kununiana.

Magufuli aongeze kidogo uso wa mbuzi yani hapa bado kabisa mimi naona. Bado ana bebeleza aongeze kabisa kukaza buti, mimi nakubaliana na hoja yako ya kuliwa, ukitaka maendeleo hakuhitaji mtu akupende wewe piga bulldozer tu mpaka mission ifikiwe, yani uso wa mbuzi 24/7
 
'undugu' na biashara haziendani, mtaendelea kuliwa mpaka mtapikwe, ila kidogo rais wenu wa sasa naona huo upuzi wa undugu ametupa kuleeee na ameweka maslahi ya taifa kwanza.

'Undugu' tunafanya wakati wa mikutano ya kijamii na kunywa na kula lakini likija suala la biashara lazima kununiana.

Ndio maana wakenya mpaka leo hamuendi SA bila visa, kama hakuna undugu kwenye biashara, hili swala lingekuwa limetatuliwa siku nyingi. Magufuli na Museveni hao wanalianzisha bomba Tanga, kumbuka Museveni alisema nini kuhusu bomba kupita Tanzania. Bado mnatafuta mchawi??
 
Nayo maajabu ya Tanzania huwa mnajikombakomba kwa wageni hadi kuwavalisha mavazi ya chama cha CCM
gz10.jpg
Hebu soma vizuri historia. Wakati mko busy kuhakikisha Tanzania inaanguka na kuamua kuivunja jumuiya ya Afrika Mashariki, Tanzania ilibaki na marafiki wachache sana ikiwemo China.
Wale wathungu mliowakumbatia kama mablangeti ya kujikinga na baridi atalichukua ardhi yenu yote mnahangaika ardhi mtapata wapi. Mnalazimisha kuja kuiba ardhi yetu Tanzania eti East African community mpya ni tofauti na ile mliyoiua 1977.
Wakenya mna shida nyingi sana....muache kudandia treni kwa mbele


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kuna mambo yanahekesha sana kama sio kuudhi..

Maada ilikua uzinduzi wa barabara,

Ghafla watu wanadiscuss mavazi,

Chamsing WTZ wapongezenei kenya,hiyo ni hatua muhimu kibiashara na kiuchumi,
sasa ww mtz na wivu wako unaona mavazi tu,
Nukufundisha MTZ,mwambie hivi,hongereni wakenya kwa hatua hiyo

Na ww mkenya usiwe kama mtoto,ww ni mtu mzima kuna mambo yaache yatajisema yenyewe sio kila jambo unarusha hewani,kumbuka ww ndio unaongoza kiuchumi hapa east africa,kama unaona unakimbizwa kimbia kweli na sio kugeuka nyuma na kuanza kufight na anaekukimbiza,
chamsingi ungetwambia hiyo barabara utafaidika nayo vipi?

Maana kuna nnchi zinajenge miradi ambayo haina faida kwa TAIFA,
kuna nnchi mmoja ilijenga uwanja wa ndege kwa mabilioni ya dola leo hii wanafanya kama sehem ya kuhifadhia mifugo kwa ajili ya mnada,
sasa na ww twambia unafaidi vipi na hiyo barabara.
 
Magufuli aongeze kidogo uso wa mbuzi yani hapa bado kabisa mimi naona. Bado ana bebeleza aongeze kabisa kukaza buti, mimi nakubaliana na hoja yako ya kuliwa, ukitaka maendeleo hakuhitaji mtu akupende wewe piga bulldozer tu mpaka mission ifikiwe, yani uso wa mbuzi 24/7

Aisei pale Tabora kuna jamaa yangu hamjamtendea haki, yeye amenunua kiwanja kutoka kwa mtu mwengine na akapata hadi hati miliki. Sasa juzi shirika la reli limekuja na kutia majengo X likiwemo hilo la jamaa, wengi wakasubiri Magufuli apitie hapo wakati anatokea Kigoma labda atawaskliza.

Alikuja na kutoa amri zibomolewe zote, anyway poa poa naona kwa kweli yeye ameamua kusafisha uozo uliokuwepo bila kujali lipi au lipi.
 
Back
Top Bottom