Barabara Saba Zitakazojengwa kwa kiwango cha Lami Jimbo la Kiteto

Barabara Saba Zitakazojengwa kwa kiwango cha Lami Jimbo la Kiteto

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

KITETO KUNUFAIKA NA MRADI WA UJENZI WA BARABARA SABA ZA LAMI

Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mhe. Edward Ole Lekaita, akitoa neno kwa niaba ya wananchi wa Jimbo la Kiteto kwenye Hafla ya Utiaji Saini wa Mikataba ya Ujenzi wa Barabara Saba.

Barabara Saba zitakazojengwa Kiteto ni pamoja na Kongwa - Kiteto; Kiteto - Simanjiro - Arusha; Handeni - Kijungu - Kibaya; Kiteto - Njoro - Kiperesa - Chemba - Singida. Hafla inayofanyika mda huu katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Conversation Jijini Dodoma.

UTIAJI SAINI MIKATABA SABA YA UJENZI WA BARABARA JIMBO LA KITETO

Hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa Barabara saba zikiwemo Kongwa - Kiteto - Arusha - Handeni - Kiteto - Singida

WhatsApp Image 2023-06-16 at 12.21.27.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-16 at 13.08.41.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-16 at 13.08.42.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-16 at 13.08.44.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-16 at 13.08.45.jpeg
 
Back
Top Bottom