Barabara ya Bagamoyo eneo JKT Mbuyuni hatarini kukatika/ wachimba mawe

Barabara ya Bagamoyo eneo JKT Mbuyuni hatarini kukatika/ wachimba mawe

Mzee makoti

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
3,482
Reaction score
4,673
Wakuu naona ofis ya mkuu wa mkoa Dar es Salaam au Wilaya ya kinondoni imelala, pale mbele mbuyuni kama unaenda tegeta upande wakushoto karibu na kambi ya J.k.t barabara ya bgamoyo road had kufika mwakani itakuwa imekufa yote au kukatika.

Wale wanaochimba mawe wanaikaribia kuikata barabara,, mkuu wa mkoa wai haraka na timu yako, maana wa chini yako wanapewa ela wanashindwa kuchukua hatua.


Ukitoka afrikana kama unaenda tegeta kuna kituo kinafuata kinaitwa mbuyuni,
Ukitoka pale mbuyuni hatua chache upande wa kushoto kuna maroli yamepaki mabovu na kuna kigorofa uchwara, kwa nyuma yake ndio kuna machimbo ya kifusi na mawe, aisee washaikaribia barabara ni hatari kabisa, viongozi wa s/mtaa na diwani na Dc wanajua,ila ni kama vile kuna kitu wananufaika nacho, kinachofanyika pale ni uhujumu uchumi wa miundombinu.
 
Wakuu naona ofis ya mkuu wa mkoa Dar es Salaam au Wilaya ya kinondoni imelala, pale mbele mbuyuni upande wakushoto karibu na kambi ya J.k.t barabara ya bgamoyo road had kufika mwakani itakuwa imekufa yote au kukatika.

Wale wanaochimba mawe wanaikaribia kuikata barabara,, mkuu wa mkoa wai haraka na timu yako, maana wa chini yako wanapewa ela wanashindwa kuchukua hatua.
Ulivyoelezea Kana kwamba wote Jf tunapajua hapo Jkt Mbuyuni
Pia ambatanisha basi na picha mkuu
 
Ulivyoelezea Kana kwamba wote Jf tunapajua hapo Jkt Mbuyuni
Pia ambatanisha basi na picha mkuu
mkuu nilipita pale kuna mtu nilienda kumfuata ,ishu ya spea,

Kama unaenda tegeta,ukimaliza afrikana kuna kituo kinafuata kinaitwa mbuyuni,kwa mbele kidogo mkono wakushoto kuna maroli mabovu na kwa chini yake watu wanachimba mawe na kifusi, karibu kabisa na barabra
 
Back
Top Bottom