Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hivi sijui huyo mbunge wa Kibamba kazi yake ni nini huko bungeni..?
Kupiga makofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sijui huyo mbunge wa Kibamba kazi yake ni nini huko bungeni..?
Wakati wamesema badala ya mwezi wa nne ingejengwa mwezi wa sita nikamwambia jamaa mmoja kwamba za ndaaani kabisa mzigo umepigwa ndo maana danadana zinakua nyingi. Jamaa alinibishia lkn alivyoona wa sita umepita mara mwez wa 8, nao umepita saiz ameniamini. Pale mtakula vumbi mpaka mfanane na barabara yenyewe.Ni kweli ilisemekana ingewekwa lami kuanzia mwezi wa 4 ila mpaka sasa hamna kitu. Hivi sijui huyo mbunge wa Kibamba kazi yake ni nini huko bungeni..?
Wew jua tu mzigo. Mzigo kweli msitegemee barabara hukoMzigo kiasi gani uliwekwa mkuu
Tarura wilaya ya ubungo ni kimeo,mkuu wa wilaya anawaangalia tu!Hii barabara hadi Sasa tumechanga zaidi ya milioni 16 wananchi wa goba kwa kauli ya “Task force team barabara Goba” na tarura wanasema wameanza ni wezi hawa
AstakhafilulahTunajenga zenji kwanza wengine msubiri
Yuko busy anakamata madada poaTarura wilaya ya ubungo ni kimeo,mkuu wa wilaya anawaangalia tu!
Hivi ni kwamba viongozi hawaoni au jeuri? Hatutaki waje kutupoza kipindi cha kampeni
Dah! jamaa huwa aish bongo sana au?Wakati wamesema badala ya mwezi wa nne ingejengwa mwezi wa sita nikamwambia jamaa mmoja kwamba za ndaaani kabisa mzigo umepigwa ndo maana danadana zinakua nyingi. Jamaa alinibishia lkn alivyoona wa sita umepita mara mwez wa 8, nao umepita saiz ameniamini. Pale mtakula vumbi mpaka mfanane na barabara yenyewe.