masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
IGAWA LODGE.Hili ni eneo gani mkuu
Barabara hii inatakiwa ijengwe kwa zege kutokana na uzito na wingi wa magari.Kwa nini hii barabara hwakumaliza kuijenga hadi Tunduma?
Mimi pia nilishapata pancha mitaa hiyo. Nikiwa na Toyota Crown tairi law profile la nyuma. Ilikuwa mwaka juzi mwezi wa 12.View attachment 2890431
Barabara hii ya Igawa-Mbeya hadi Tunduma, imeanza kurudi zama zake miaka ya 60, ikiitwa The Hell Run. Kwa sasa safiri barabara hii at your own risk, barabara ni mbaya kuliko.
Mida ya saa 8 usiku, nimepata double puncture baada ya kuingia shimo kisawasawa.
Kama kilometa 15 baada ya Igawa kelekea Mbeya.Hili ni eneo gani mkuu