Ni hatari, kwa sisi ambao tumezoea speed 250 ukutane na hilo shimo ni kaziKutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busungu imemong'onyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.
View attachment 2975057View attachment 2975058View attachment 2975059
Sasa chief speed 250 kwenye rami hizi za dunia ya tatu unakuta unataka kuwahi nafasi kuzimu au vipi 😆😆Ni hatari, kwa sisi ambao tumezoea speed 250 ukutane na hilo shimo ni kazi
Mkoa umelaaniwa kwasababu ya Mwijaku na Baba levo. Tukiendelea kuwachekea hawa national disgrace laana itasambaa mikoa yote. Haya majitu yadhibitiwe aibu tunaona sisi wanaume.Kutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busungu imemomonyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.
View attachment 2975057View attachment 2975058View attachment 2975059
Mkiwa mnakimbiza magari Kwa hizo speed muwe mnatuachia wake zenu kabisa kama urithi Ili mtakapotangulia tusigimbanie maliNi hatari, kwa sisi ambao tumezoea speed 250 ukutane na hilo shimo ni kazi
... chezea VITIMBA weye? ... MPAKA LAMI INAROGWA!mizimu ya waha haitaki lami
Kama upo na landcruiser mkonge unapenya lakini kama upo na IST utajikuta upo ndani ya korongo.Ni hatari, kwa sisi ambao tumezoea speed 250 ukutane na hilo shimo ni kazi
Duh! Inamaana badala ya Daraja walijenga kavukavu?Kutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busunzu imemomonyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.
View attachment 2975057View attachment 2975058View attachment 2975059
=========
UFAFANUZI WA TANROADS
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma amesema: “Tulitoa ufafanuzi wa hilo eneo, ikaundwa timu ya kufanya uchunguzi na tayari imekamilisha kazi na kukabidhi kwa Waziri, hivyo tunasubiri Wizara ipitie na kutoa hiyo ripoti.
Pia soma - TANROADS Yatoa Ufafanuzi Kuharibika kwa Barabara ya Kigoma
Muwe mnafanya utafiti kidogo kabla ya kuropoka. Mmejee negativities mno. Ungetulia kidogo ungegundua sbb si mvua wala ubovu wa mkandarasi. Ni kutitia kwa ardhi, jambo ambalo ni natural calamity. Imetokea Kenya, Japan na China pia.Hiyo hata Mkandarasi hajatoka site. Ni balaa. Mvua imemtia adhabu. Ila ni heri ili arekebishe kabla hajaondoka site.