Barabara ya kivule Kuelekea banana ni hatari kwa usalama wa afya za abiria

Barabara ya kivule Kuelekea banana ni hatari kwa usalama wa afya za abiria

adriz

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
12,207
Reaction score
26,521
Moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi

Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata changamoto zifuatazo ;
1.Mwili kuuma na maumivu ya kichwa kutoka na gari kurusha na kudunda kwenye mashimo ambayo yapo karibia njia nzima .
2.Masikio kuuma kuliko sababishwa mitikisiko ya mara kwa mara na inayopelekea vyuma na vioo vya gari hutoa sauti ya Kukera kutokana migogano na misuguano .
3.Mafua na kifua hali iliyosababishwa na vumbi njia nzima.

Baada ya gari kufikia mwisho wa kituo abiria karibia wote walihema na kikohoa kama wamemaliza mbio za marathon ,baadhi yao wakawa wanaongea huku wakishuka mmoja akisema "hii njia kama una mjamzito ujauzito unatoka njiani" mwingine nilimnukuu akisema "hii barabara imezidi ubovu kama hatuko dar es salaam"

Mimi binafsi nashangaa sana kwa uongozi wa jimbo la ukonga kutotatua tatizo hili kwa muda mrefu kwani barabara ile muhimu sana kuunganisha wananchi Ktk shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufikia maeneo muhimu kama Muhimbil n.k
IMG_20211219_140136.jpg
 
Moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi

Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata changamoto zifuatazo ;
1.Mwili kuuma na maumivu ya kichwa kutoka na gari kurusha na kudunda kwenye mashimo ambayo yapo karibia njia nzima .
2.Masikio kuuma kuliko sababishwa mitikisiko ya mara kwa mara na inayopelekea vyuma na vioo vya gari hutoa sauti ya Kukera kutokana migogano na misuguano .
3.Mafua na kifua hali iliyosababishwa na vumbi njia nzima.

Baada ya gari kufikia mwisho wa kituo abiria karibia wote walihema na kikohoa kama wamemaliza mbio za marathon ,baadhi yao wakawa wanaongea huku wakishuka mmoja akisema "hii njia kama una mjamzito ujauzito unatoka njiani" mwingine nilimnukuu akisema "hii barabara imezidi ubovu kama hatuko dar es salaam"

Mimi binafsi nashangaa sana kwa uongozi wa jimbo la ukonga kutotatua tatizo hili kwa muda mrefu kwani barabara ile muhimu sana kuunganisha wananchi Ktk shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufikia maeneo muhimu kama Muhimbil n.kView attachment 2054778
Maendeleo hayana chama...
 
Hio njia mbona mboba nzuri sana aisee!!

hebu njoo mwanza nikupeleke igombe kutokea mjini kati.

au kutokea igoma kwenda kishili

ndio utajua kuna maeneo ya baadhi ya.majiji makubwa yana shida sana ya usafiri
 
Tafuta hela huko watu tunaishi poa tu, kitunda na banana ndio mjini kwetu.
Matatizo ya kukohoa Corona hiyo kachanje.
 
Moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi

Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata changamoto zifuatazo ;
1.Mwili kuuma na maumivu ya kichwa kutoka na gari kurusha na kudunda kwenye mashimo ambayo yapo karibia njia nzima .
2.Masikio kuuma kuliko sababishwa mitikisiko ya mara kwa mara na inayopelekea vyuma na vioo vya gari hutoa sauti ya Kukera kutokana migogano na misuguano .
3.Mafua na kifua hali iliyosababishwa na vumbi njia nzima.

Baada ya gari kufikia mwisho wa kituo abiria karibia wote walihema na kikohoa kama wamemaliza mbio za marathon ,baadhi yao wakawa wanaongea huku wakishuka mmoja akisema "hii njia kama una mjamzito ujauzito unatoka njiani" mwingine nilimnukuu akisema "hii barabara imezidi ubovu kama hatuko dar es salaam"

Mimi binafsi nashangaa sana kwa uongozi wa jimbo la ukonga kutotatua tatizo hili kwa muda mrefu kwani barabara ile muhimu sana kuunganisha wananchi Ktk shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufikia maeneo muhimu kama Muhimbil n.kView attachment 2054778
Barabara nzuri kabisa hiyo ina mkeka mpaka bajaji inapita unasema mbaya kwa afya za binadam we jamaa futa huu uzi.. haraka sana, Tanzania hujatembea ukaijua vzuri
 
Moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi

Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata changamoto zifuatazo ;
1.Mwili kuuma na maumivu ya kichwa kutoka na gari kurusha na kudunda kwenye mashimo ambayo yapo karibia njia nzima .
2.Masikio kuuma kuliko sababishwa mitikisiko ya mara kwa mara na inayopelekea vyuma na vioo vya gari hutoa sauti ya Kukera kutokana migogano na misuguano .
3.Mafua na kifua hali iliyosababishwa na vumbi njia nzima.

Baada ya gari kufikia mwisho wa kituo abiria karibia wote walihema na kikohoa kama wamemaliza mbio za marathon ,baadhi yao wakawa wanaongea huku wakishuka mmoja akisema "hii njia kama una mjamzito ujauzito unatoka njiani" mwingine nilimnukuu akisema "hii barabara imezidi ubovu kama hatuko dar es salaam"

Mimi binafsi nashangaa sana kwa uongozi wa jimbo la ukonga kutotatua tatizo hili kwa muda mrefu kwani barabara ile muhimu sana kuunganisha wananchi Ktk shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufikia maeneo muhimu kama Muhimbil n.kView attachment 2054778
Huko kunajengwa hospitali ndogo ya Amana naamini lami itafika muda si mrefu mpk huko!! Ila kuna mijengo huko balaa
 
Barabara nzuri kabisa hiyo ina mkeka mpaka bajaji inapita unasema mbaya kwa afya za binadam we jamaa futa huu uzi.. haraka sana, Tanzania hujatembea ukaijua
Hiyo picha sijapiga vyema kuonyesha uhalisia halisi , ila ukifija eneo la husika hapo utajua vizuri .Mimi nimetembea sehemu nyingi zenye barbara ya vumbi lkn zinakuwa imara bila mashimo makubwa hivyo husaidia kupunguza athari.
 
Leo pia kuna mdau humu Jf amepata Madhara kutokana na barabara hiyo na kuelezea mkasa wake kwenye uzi huu
Hakika ni siku ya huzuni..leo nikiwa naenda kumsalimu shemeji yangu..nikiwa nmebeba familia na zawadi kwaajili ya ugeni huu.

Baada ya kupitia barabara mbovu sijawahi ona ndani ya dsm..ipitayo moshi baa mkulemba..hakika najuta..baada ya kukata chasis ya nyuma.

Barabara hii imejaa mashimo kila kona..kiufupi haipitiki..chakushangaza zaidi ipo ndani ya jiji.

Diwani yupo..mbunge yupo..mkuu wa ilaya yupo..mkurugenzi yupo..mkuu wa mkoa yupo..tarura wapo.

I wish ningekua..

Mana iabisha sana serikali ya ccm..inaonekana hifanyi kazi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wew tuachie kivule yetu, naskia cku hiz wanaweka lami tena…
 
Mkuu wew tuachie kivule yetu, naskia cku hiz wanaweka lami tena…
Kama ni kweli basi itakuwa vizuri maana kule wamepasusa ile barabara mvua kidogo tu usafiri kutokana banana kuja kivule unakuwa shida na ghali .
 
Hio njia nakumbuka tulipita tukafika Mbele kabisa gari likanasa tulifanya jitihada sana kulinasua lakini wapi akatokea mwenyeji akatuambia huku mlipokuja sipo

Akachukua chupa ya maji akasomea kisha kumwaga Kwenye pande nne asikuambie mtu gari ikatembea hapohapo
 
Kama ni kweli basi itakuwa vizuri maana kule wamepasusa ile barabara mvua kidogo tu usafiri kutokana banana kuja kivule unakuwa shida na ghali .

Ndio hivyo mkuu naona wametukumbuka cku hiz..
 
Hio njia nakumbuka tulipita tukafika Mbele kabisa gari likanasa tulifanya jitihada sana kulinasua lakini wapi akatokea mwenyeji akatuambia huku mlipokuja sipo

Akachukua chupa ya maji akasomea kisha kumwaga Kwenye pande nne asikuambie mtu gari ikatembea hapohapo

Ilikua wap mkuu,? Mbona cjawah kuisikia hiyo…
 
Moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi

Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata changamoto zifuatazo ;
1.Mwili kuuma na maumivu ya kichwa kutoka na gari kurusha na kudunda kwenye mashimo ambayo yapo karibia njia nzima .
2.Masikio kuuma kuliko sababishwa mitikisiko ya mara kwa mara na inayopelekea vyuma na vioo vya gari hutoa sauti ya Kukera kutokana migogano na misuguano .
3.Mafua na kifua hali iliyosababishwa na vumbi njia nzima.

Baada ya gari kufikia mwisho wa kituo abiria karibia wote walihema na kikohoa kama wamemaliza mbio za marathon ,baadhi yao wakawa wanaongea huku wakishuka mmoja akisema "hii njia kama una mjamzito ujauzito unatoka njiani" mwingine nilimnukuu akisema "hii barabara imezidi ubovu kama hatuko dar es salaam"

Mimi binafsi nashangaa sana kwa uongozi wa jimbo la ukonga kutotatua tatizo hili kwa muda mrefu kwani barabara ile muhimu sana kuunganisha wananchi Ktk shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufikia maeneo muhimu kama Muhimbil n.kView attachment 2054778

Mbona barabara nzuri tu
 
Moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi

Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata changamoto zifuatazo ;
1.Mwili kuuma na maumivu ya kichwa kutoka na gari kurusha na kudunda kwenye mashimo ambayo yapo karibia njia nzima .
2.Masikio kuuma kuliko sababishwa mitikisiko ya mara kwa mara na inayopelekea vyuma na vioo vya gari hutoa sauti ya Kukera kutokana migogano na misuguano .
3.Mafua na kifua hali iliyosababishwa na vumbi njia nzima.

Baada ya gari kufikia mwisho wa kituo abiria karibia wote walihema na kikohoa kama wamemaliza mbio za marathon ,baadhi yao wakawa wanaongea huku wakishuka mmoja akisema "hii njia kama una mjamzito ujauzito unatoka njiani" mwingine nilimnukuu akisema "hii barabara imezidi ubovu kama hatuko dar es salaam"

Mimi binafsi nashangaa sana kwa uongozi wa jimbo la ukonga kutotatua tatizo hili kwa muda mrefu kwani barabara ile muhimu sana kuunganisha wananchi Ktk shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufikia maeneo muhimu kama Muhimbil n.kView attachment 2054778
Mbunge wako ni nani
 
Moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi

Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata changamoto zifuatazo ;
1.Mwili kuuma na maumivu ya kichwa kutoka na gari kurusha na kudunda kwenye mashimo ambayo yapo karibia njia nzima .
2.Masikio kuuma kuliko sababishwa mitikisiko ya mara kwa mara na inayopelekea vyuma na vioo vya gari hutoa sauti ya Kukera kutokana migogano na misuguano .
3.Mafua na kifua hali iliyosababishwa na vumbi njia nzima.

Baada ya gari kufikia mwisho wa kituo abiria karibia wote walihema na kikohoa kama wamemaliza mbio za marathon ,baadhi yao wakawa wanaongea huku wakishuka mmoja akisema "hii njia kama una mjamzito ujauzito unatoka njiani" mwingine nilimnukuu akisema "hii barabara imezidi ubovu kama hatuko dar es salaam"

Mimi binafsi nashangaa sana kwa uongozi wa jimbo la ukonga kutotatua tatizo hili kwa muda mrefu kwani barabara ile muhimu sana kuunganisha wananchi Ktk shughuli mbalimbali za kiuchumi na kufikia maeneo muhimu kama Muhimbil n.kView attachment 2054778
Sema we jamaa unaonekana mayai sana kibarabara kipara kabisa
 
mbona nilisikia watu wanasema kuwa hiyo barabara ya kivule ndo inayoelekea peponi au nilikuwa naota nn?#@$%😇😆😁😀😂😷🤥🥶🤧
 
Back
Top Bottom