Barabara ya kuelekea kwenye mafanikio siku zote ipo kwenye ukarabati

Barabara ya kuelekea kwenye mafanikio siku zote ipo kwenye ukarabati

Street brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
584
Reaction score
767
Wazee wanasema "barabara yakuelekea kwenye mafanikio siku zote ipo kwenye ukarabati". Daima kazana kujitahidi kutimiza malengo yako, isifikie mahali nakujiona sasa nimefika, siku zote tupo kwenye mapambano.

Unaweza kutumia njia ikakufikisha kwenye malengo lakini kumbuka utakutana na binadamu au changamoto zitakazo bomoa njia.

Kama mvua na kiangazi kinavyoweza kuharibu barabara za kawaida. Uwe mbunifu daima kama njia yakulinda mafanikio yako. ©️ Pocco.

Eti ni kweli mdomo unaoongea sanaa ni rahisi kumuumiza rafiki?🤔 Unayemdharau unaweza kukuta anakula nyama kila siku😝🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️😝
 
Wazee wanasema "barabara yakuelekea kwenye mafanikio siku zote ipo kwenye ukarabati". Daima kazana kujitahidi kutimiza malengo yako, isifikie mahali nakujiona sasa nimefika, siku zote tupo kwenye mapambano.

Unaweza kutumia njia ikakufikisha kwenye malengo lakini kumbuka utakutana na binadamu au changamoto zitakazo bomoa njia.

Kama mvua na kiangazi kinavyoweza kuharibu barabara za kawaida. Uwe mbunifu daima kama njia yakulinda mafanikio yako. [emoji2399] Pocco.

Eti ni kweli mdomo unaoongea sanaa ni rahisi kumuumiza rafiki?[emoji848] Unayemdharau unaweza kukuta anakula nyama kila siku[emoji13][emoji2097][emoji2097][emoji13]
Andiko hili ni mali ya Padre Prosper Kessy.

Ku copy na ku paste bila kumpa acknowledgement ni aibu kwako.

Ume edit baadhi ya maneno kwa makusudi.

Andiko halisi (original) ni hili hapa [emoji116]

"
Wazee wanasema "barabara yakuelekea kwenye mafanikio siku zote ipo kwenye ukarabati". Daima kazana kujitahidi kutimiza malengo yako, isifikie mahali nakujiona sasa nimefika, siku zote tupo kwenye mapambano. Unaweza kutumia njia ikakufikisha kwenye malengo lakini kumbuka utakutana na binadamu au changamoto zitakazo bomoa njia. Kama mvua na kiangazi kinavyoweza kuharibu barabara za kawaida. Uwe mbunifu daima kama njia yakulinda mafanikio yako. [emoji2399] Pd. PK. Eti ni kweli mdomo unao ongea sanaa ni rahisi kumuumiza rafiki?[emoji848] Unayemdharau unaweza kukuta anakula nyama kila siku[emoji13][emoji2097][emoji2097][emoji13]

NB. Shukrani kwa Mungu: Sms za "Wazee wanasema" zinatimiza miaka 5 tangu nianze kuandika nakurekodi kwa video= una maoni text number 0755444471*. Siku njema[emoji2][emoji1488]

"

***********
Labda uwe ume copy na wewe bila kujua chanzo halisi ni kipi.
 
Hustlers are never motivated. They are born to hustle an self motivated.

If you need motivation to hustle, there's a problem somewhere; you need to work very hard.

Your chance to be successful is very rear
Aisee hii ndiyo kanunu yangu ya maisha ninavyoishi huwa siruhusu watu waje kunihubiria ishu za maisha kilakitu namwachia MUNGU basi inatosha
 
Andiko hili ni mali ya Padre Prosper Kessy.

Ku copy na ku paste bila kumpa acknowledgement ni aibu kwako.

Ume edit baadhi ya maneno kwa makusudi.

Andiko halisi (original) ni hili hapa [emoji116]

"
Wazee wanasema "barabara yakuelekea kwenye mafanikio siku zote ipo kwenye ukarabati". Daima kazana kujitahidi kutimiza malengo yako, isifikie mahali nakujiona sasa nimefika, siku zote tupo kwenye mapambano. Unaweza kutumia njia ikakufikisha kwenye malengo lakini kumbuka utakutana na binadamu au changamoto zitakazo bomoa njia. Kama mvua na kiangazi kinavyoweza kuharibu barabara za kawaida. Uwe mbunifu daima kama njia yakulinda mafanikio yako. [emoji2399] Pd. PK. Eti ni kweli mdomo unao ongea sanaa ni rahisi kumuumiza rafiki?[emoji848] Unayemdharau unaweza kukuta anakula nyama kila siku[emoji13][emoji2097][emoji2097][emoji13]

NB. Shukrani kwa Mungu: Sms za "Wazee wanasema" zinatimiza miaka 5 tangu nianze kuandika nakurekodi kwa video= una maoni text number 0755444471*. Siku njema[emoji2][emoji1488]

"

***********
Labda uwe ume copy na wewe bila kujua chanzo halisi ni kipi.
Mmhhh he is good
 
Andiko hili ni mali ya Padre Prosper Kessy.

Ku copy na ku paste bila kumpa acknowledgement ni aibu kwako.

Ume edit baadhi ya maneno kwa makusudi.

Andiko halisi (original) ni hili hapa [emoji116]

"
Wazee wanasema "barabara yakuelekea kwenye mafanikio siku zote ipo kwenye ukarabati". Daima kazana kujitahidi kutimiza malengo yako, isifikie mahali nakujiona sasa nimefika, siku zote tupo kwenye mapambano. Unaweza kutumia njia ikakufikisha kwenye malengo lakini kumbuka utakutana na binadamu au changamoto zitakazo bomoa njia. Kama mvua na kiangazi kinavyoweza kuharibu barabara za kawaida. Uwe mbunifu daima kama njia yakulinda mafanikio yako. [emoji2399] Pd. PK. Eti ni kweli mdomo unao ongea sanaa ni rahisi kumuumiza rafiki?[emoji848] Unayemdharau unaweza kukuta anakula nyama kila siku[emoji13][emoji2097][emoji2097][emoji13]

NB. Shukrani kwa Mungu: Sms za "Wazee wanasema" zinatimiza miaka 5 tangu nianze kuandika nakurekodi kwa video= una maoni text number 0755444471*. Siku njema[emoji2][emoji1488]

"

***********
Labda uwe ume copy na wewe bila kujua chanzo halisi ni kipi.
Yuko vizuri napenda sana content zake
 
Back
Top Bottom