KERO Barabara ya kutoka Kitonga kwenda Mbande kupitia Tambani ni hatari kwa maisha ya binadamu

KERO Barabara ya kutoka Kitonga kwenda Mbande kupitia Tambani ni hatari kwa maisha ya binadamu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Serikali ya Tambani (Mkuranga) inapuuzia ukarabati wa miundombinu ya barabara ya kutoka Kitonga kwenda Mbande kupitia Tambani, yapata miezi miwili. TANROADS na TARURA, wanachekea ujinga usiojificha.

WeChat Image_20240116155350.jpg
WeChat Image_20240116155304.jpg
WeChat Image_20240116155235.jpg
WeChat Image_20240116155159.jpg
WeChat Image_20240116154946.jpg
WeChat Image_20240116154924.jpg
WeChat Image_20240116154835.jpg
WeChat Image_20240116154742.jpg
 
Back
Top Bottom