CODE-04 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2023 Posts 961 Reaction score 2,716 Feb 7, 2024 #21 Mbunge wa huko sijui ni nani, nasikia alihamisha lami kwenda kwake Kibamba badala ya barabara hiyo.
Mtu-Pori JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 1,296 Reaction score 1,468 Feb 9, 2024 #22 0404 said: Mbunge wa huko sijui ni nani, nasikia alihamisha lami kwenda kwake Kibamba badala ya barabara hiyo. Click to expand... Hiyo barabara ilikuwa ijengwe kwa lami kuendeleza ile barabara ya Mbezi Kinyerezi. Kilichotokea sasa..... lami imepelekwa Kibamba Chama kwenda Kibwegere.
0404 said: Mbunge wa huko sijui ni nani, nasikia alihamisha lami kwenda kwake Kibamba badala ya barabara hiyo. Click to expand... Hiyo barabara ilikuwa ijengwe kwa lami kuendeleza ile barabara ya Mbezi Kinyerezi. Kilichotokea sasa..... lami imepelekwa Kibamba Chama kwenda Kibwegere.