Ndugu wadau,
Ningependa wananchi wafahamu kuwa barabara muhimu inayotoka Mbweni Kijijini kupitia Malindi , masaiti hadi Boko Magengeni imefungwa !
Hii ni barabara muhimu sana hasa kwa wakazi wa Mbweni kijijini na wengineo wa njiani. Cha ajabu haieleweki kwa nini imefungwa !
Ikumbukwe kuwa hizi barabara zinatengenezwa kwa kutumia kodi za wananchi sasa inapotokea barabara inafungwa ghafla bila sababu yoyote ya msingi hili ni tatizo kubwa !
Kuna wananchi wanahitaji kusafiri , kuna wagonjwa wanahitaji kupelekwa hospitali , pia kuna bandari ndogo ya Mbweni , sasa unapofunga barabara manaake nini ??
Hivi Mbunge wetu Gwajima uko wapi ??? Diwani uko wapi ??? Ingilieni kati jamani hili suala tunataka barabara ifunguliwe na tuitumie tafadhali
Ningependa wananchi wafahamu kuwa barabara muhimu inayotoka Mbweni Kijijini kupitia Malindi , masaiti hadi Boko Magengeni imefungwa !
Hii ni barabara muhimu sana hasa kwa wakazi wa Mbweni kijijini na wengineo wa njiani. Cha ajabu haieleweki kwa nini imefungwa !
Ikumbukwe kuwa hizi barabara zinatengenezwa kwa kutumia kodi za wananchi sasa inapotokea barabara inafungwa ghafla bila sababu yoyote ya msingi hili ni tatizo kubwa !
Kuna wananchi wanahitaji kusafiri , kuna wagonjwa wanahitaji kupelekwa hospitali , pia kuna bandari ndogo ya Mbweni , sasa unapofunga barabara manaake nini ??
Hivi Mbunge wetu Gwajima uko wapi ??? Diwani uko wapi ??? Ingilieni kati jamani hili suala tunataka barabara ifunguliwe na tuitumie tafadhali