Barabara ya milimani huko Yichang mkoani Hubei yawasaidia wanavijiji kupata utajiri

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Katika miaka ya hivi karibuni, eneo la Yiling huko Yichang mkoani Hubei limeendelea kuhimiza ujenzi wa miundombinu, kwa kujenga barabara zinazounganisha vijiji vya milimani, na kuunda mtandao wa usafiri kati ya miji na vijiji, na kuwasaidia wakulima wa milimani kusafiri na kuuza bidhaa za kilimo, kuhimiza maendeleo ya kiuchumi ya maeneo ya milimani, na kusaidia uendelezaji wa maeneo ya vijijini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…