Hivi karibuni nimekuwa nikilalamiki sana kitendo cha TARURA Singida kwa kutifua barabara na kuiacha ikiwa haitamaniki kwa kushindwa kupitika.
Leo nimepita maeneo hayo na kukuta mawe yakiwa yamemwagwa barabarani tayari kwa kuanza matengenezo.
Naipongeza sana TARURA nawaomba haya mawe yasimalize miezi miwili kama mlivyofanya wakati mnatifua.
Kwakuwa haya mawe yamezuiq njia jitahidini yasikae muda mrefu ili njia yetu japo ya kupita kwa miguu iwepo.
Pia soma ~ Mgombea wa Mtaa wa Sabasaba - Singida turekebishie barabara yetu
Leo nimepita maeneo hayo na kukuta mawe yakiwa yamemwagwa barabarani tayari kwa kuanza matengenezo.
Naipongeza sana TARURA nawaomba haya mawe yasimalize miezi miwili kama mlivyofanya wakati mnatifua.
Kwakuwa haya mawe yamezuiq njia jitahidini yasikae muda mrefu ili njia yetu japo ya kupita kwa miguu iwepo.
Pia soma ~ Mgombea wa Mtaa wa Sabasaba - Singida turekebishie barabara yetu