Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Habari wandugu,
Hii barabara yetu ya Mwenge-Tegeta mbona muda unakwenda bado hatuoni matumaini. Jamaa wapo Tegeta wanajenga daraja at snails pace imeshachukua mwaka mzima. Hapo mwenge napo hata dalili ya kumalizia kile ki daraja hamna.
Pale Golden Bridge njia panda ya kawe wamejenga upande mmoja bado hawajafungua na hawana mpango wa kufungua.
Kwa anayefahamu muda wa kukamilika huu mradi naomba atufahamishe tujue. Kila siku foleni btn Africana na Kunduchi njia panda. Tumechoka kufika majumbani saa sita za usiku na kuamka saa kumi!
Hii barabara yetu ya Mwenge-Tegeta mbona muda unakwenda bado hatuoni matumaini. Jamaa wapo Tegeta wanajenga daraja at snails pace imeshachukua mwaka mzima. Hapo mwenge napo hata dalili ya kumalizia kile ki daraja hamna.
Pale Golden Bridge njia panda ya kawe wamejenga upande mmoja bado hawajafungua na hawana mpango wa kufungua.
Kwa anayefahamu muda wa kukamilika huu mradi naomba atufahamishe tujue. Kila siku foleni btn Africana na Kunduchi njia panda. Tumechoka kufika majumbani saa sita za usiku na kuamka saa kumi!