Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
- Thread starter
- #21
Barabara kweli inaelekea kuisha lakini mapungufu mengi sana na sehemu nyingi imeshaanza kubomoka huwa naona wanaweka viraka.
Njia za kuchapuka pembeni wameziweka haziendani na entrace za upande wa pili wa barabara kubwa. Yaani very risky mfano pale chini ukipita njia Africana kabla hujafika njia panda kunduchi ukitoka kituo cha Total kama unarudi Mwenge ni majanga hadi urudi tena kule njia panda kunduchi au uchukue risk arudi against magari yanayotoka Mwenge.
Hii ipo sehemu nyingi hivohivyo na kingo za madaraja wamejenga nusu nusu pale Tegeta naona juzi juzi wameengozea. Pia ajali nyingti zimetokea especially pale Tegeta darajani kwa uzembe wa hawa wajenzi wanaweka yale matofali magumu kati kati ya barabara bila tahadhari yoyote mida ya usiku ukitungua gari unaingia unaimalizia pale.
Angalau tunashukuru inaisha ila sijui itadumu muda gani maana traffic imeongezeka sana kwa wanaotumia njia ya Bagamoyo Msata kwenda mikoani. Tunategemea itaongezeka zaidi Bandari ya Bagamoyo ikianza.
Njia za kuchapuka pembeni wameziweka haziendani na entrace za upande wa pili wa barabara kubwa. Yaani very risky mfano pale chini ukipita njia Africana kabla hujafika njia panda kunduchi ukitoka kituo cha Total kama unarudi Mwenge ni majanga hadi urudi tena kule njia panda kunduchi au uchukue risk arudi against magari yanayotoka Mwenge.
Hii ipo sehemu nyingi hivohivyo na kingo za madaraja wamejenga nusu nusu pale Tegeta naona juzi juzi wameengozea. Pia ajali nyingti zimetokea especially pale Tegeta darajani kwa uzembe wa hawa wajenzi wanaweka yale matofali magumu kati kati ya barabara bila tahadhari yoyote mida ya usiku ukitungua gari unaingia unaimalizia pale.
Angalau tunashukuru inaisha ila sijui itadumu muda gani maana traffic imeongezeka sana kwa wanaotumia njia ya Bagamoyo Msata kwenda mikoani. Tunategemea itaongezeka zaidi Bandari ya Bagamoyo ikianza.