Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha

Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha

kukulupukia miladi mingi mikubwa bila ya kutumia akili ndio tatizo.
jiwe kakwapua hela za alizowaida wezi ,kajitapa kua hela anazo kumbe wanaibia wafanya biashara.
mwisho wasiku kila mkandalasi anataka hela ya kuendelea na kazi , anaambiwa hela hamna mzee presha inampanda.
na ndio hivyo.

nakumbuka MOVIE ya idd amini.
anambiwa na gavana hela hakuna anasema hela zitaishaje tengeneza zingine.gavana kajichanganya kumwambia zitakua kama makaratasi.
hahahahahahahahahahhaahahahah..............


kwa ufupi jiwe hakua na watalam wa uchumi kabisa.
wachumi wake alikua polepole'sabaya yaani.hovyo kabisa.
Taahira wewe pimbi!
 
Miundombinu ya usafri alikuwa anaiweza magufuli tu! Hii wizara ni ngumu sana
Ujenzi ujenzi ujenzi unahitaji akili kubwa tena akili ya kutenda sio siasa
Msukule wa mwendazake kazini.

Hii nchi ina miaka 60 ya uhuru,mwendazake ametawala 5y,wengine 55y,na kabla ya hapo wakoloni. Miaka yote,miundombinu ilikuwa inajengwa. Wakoloni ndio waliojenga miundombinu ya treni unayoiona.

Acha ushamba.
 
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.

Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.

My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.

========

barabarapic.jpg

Dar es Salaam. Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia kujenga kipande cha kutoka Kimara hadi Kibaha na barabara za kuiunganisha barabara hiyo ya Morogoro na Kituo cha Mabasi cha Magufuli kutokana na ukosefu wa fedha.
“Kimsingi bado ujenzi unaendelea na hatuwezi kutoa mapipa yaliyopo kwenye Barabara ya Morogoro haraka, kwani itapunguza usalama hivyo kuongezeka ajali,” alisema Mativila.

Alisema wameomba fedha ili kukamilisha sehemu hizo na kuondoa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Katika barabara hiyo inayoendelea kujengwa ikiwa na njia nne za kwenda na nne za kurudi, Tanroads wameweka zaidi ya mapipa 4,280 na kingo 274 za zege kutenganisha mpaka na sehemu ya katikati ambayo ni kwa ajili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT).

“Tumeomba fedha za nyongeza serikalini ili kutengeneza kwa lami kipande cha barabara kutoka stendi na barabara kuu ili kuondoa changamoto ya matope pindi mvua inaponyesha,” alisema Mativila.

Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa fedha nyingine zitatumika kujenga mawe ya pembeni mwa Barabara ya Morogoro ili kutengeneza mipaka ya barabara hiyo na eneo linaloachwa kwa matumizi mengine.

“Kwa sasa gapestone (kingo) tulizoweka katikati hatuwezi kutoa, kwani tukifanya hivyo tunaweza kusababisha ajali nyingi, kwani madereva wengi wataendesha magari kwa kasi kutokana na uwazi kuwa mkubwa,” alisema.

Alipotafutwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kujua kiasi cha fedha zilizoombwa na Tanroads, simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, alijibu: “Mimi ndiyo ninafanya mambo mengi. Tutaiweka kwenye utaratibu ili iende vizuri”.

Stendi ya Magufuli

Kwa upande mwingine, uongozi wa Manispaa ya Ubungo umetoa ufafanuzi kuwa changamoto zinazokwamisha kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya maeneo ya Stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi Luis ni kutotolewa kwa fedha zinazohitajika kwa wakati.

Ujenzi wa stendi hiyo kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoani ulioanza Februari 2019 bado haujakamilika kwa asilimia 100, jambo linalosababisha usumbufu kwa magari yanayosimama wakati wa kupakia na kushusha hasa usiku na asubuhi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhandisi wa Manispaa ya Ubungo, Masodoya John ambaye ni msimamizi wa mradi wa ujenzi wa stendi hiyo inayojengwa na kampuni ya Hainan ya China, alisema wanategemea mapato ya ndani kuendeleza ujenzi huo.

“Nikiri malipo huwa yanachelewa lakini sio kwa muda mrefu sana kiasi cha kuathiri utendajikazi kwa sababu ndani ya siku 18 mkandarasi anatakiwa awe ameshalipwa. Kukiwa na mapungufu kwenye kuwasilisha nyaraka ikaonekana kuna sehemu inatakiwa ufafanuzi kwa mwajiri ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa manispaa, fedha zinachelewa kutoka,” alisema.

Mtaalamu huyo wa ujenzi alifafanua: “Unaweza kukuta hazijaja tarehe 10 kwa sababu ya mapungufu katika kuandaa nyaraka za malipo.” John alibainisha changamoto nyingine zinazochelewesha kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kuwa ni kufanya usanifu wa mara kwa mara.

“Kitendo cha magari kulala eneo lile kunaweka ugumu. Kuna wakati tunalazimika kuruhusu magari kutoka na kuingia na changamoto hiyo inamlazimu mkandarasi kusimamisha ujenzi wakati mwingine. Hili linasababishwa na kulitumia eneo kabla ya ujenzi haujaisha,” alisema John.

Mhandisi huyo alisema mkandarasi wa mradi huo anajitahidi kutekeleza kila hatua kulingana na mkataba unavyotaka ambao unadumu hadi Desemba mwaka huu atakapomaliza ujenzi na kukabidhi mradi.

“Mategemeo yetu Desemba tunakabidhiwa mradi wetu ukiwa tayari ili tuanze kulitumia eneo kulingana na malengo yaliyokusudiwa,” alisema John, anayeamini baada ya kukamilika kwa ujenzi huo changamoto hizo zitaisha kwa asilimia kubwa, kwa sasa sehemu iliyokamilika yanasimama mabasi 104. Stendi hiyo ina sehemu ya kuegesha mabasi 204 kwa wakati mmoja, hivyo kukamilika kwake kutawanufaisha wananchi wanaoelekea maeneo tofauti kupitia Barabara ya Morogoro.

John alisema ujenzi wa stendi hiyo yenye thamani ya Sh50.9 bilioni bado unaendelea na kwa sasa mkandarasi anajenga daraja sehemu ambako mabasi yanaingilia.

Chanzo: Mwananchi


==========

Update:

Ukurasa wa Instagram wa Gerson msigwa ameandika kuwa taarifa hii si ya kweli na amewataka wananchi kupuuzia upotoshaji huo.

Unapata faida gani kupotosha umma!?
 
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.

Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.

My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.

========

barabarapic.jpg

Dar es Salaam. Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia kujenga kipande cha kutoka Kimara hadi Kibaha na barabara za kuiunganisha barabara hiyo ya Morogoro na Kituo cha Mabasi cha Magufuli kutokana na ukosefu wa fedha.
“Kimsingi bado ujenzi unaendelea na hatuwezi kutoa mapipa yaliyopo kwenye Barabara ya Morogoro haraka, kwani itapunguza usalama hivyo kuongezeka ajali,” alisema Mativila.

Alisema wameomba fedha ili kukamilisha sehemu hizo na kuondoa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Katika barabara hiyo inayoendelea kujengwa ikiwa na njia nne za kwenda na nne za kurudi, Tanroads wameweka zaidi ya mapipa 4,280 na kingo 274 za zege kutenganisha mpaka na sehemu ya katikati ambayo ni kwa ajili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT).

“Tumeomba fedha za nyongeza serikalini ili kutengeneza kwa lami kipande cha barabara kutoka stendi na barabara kuu ili kuondoa changamoto ya matope pindi mvua inaponyesha,” alisema Mativila.

Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa fedha nyingine zitatumika kujenga mawe ya pembeni mwa Barabara ya Morogoro ili kutengeneza mipaka ya barabara hiyo na eneo linaloachwa kwa matumizi mengine.

“Kwa sasa gapestone (kingo) tulizoweka katikati hatuwezi kutoa, kwani tukifanya hivyo tunaweza kusababisha ajali nyingi, kwani madereva wengi wataendesha magari kwa kasi kutokana na uwazi kuwa mkubwa,” alisema.

Alipotafutwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kujua kiasi cha fedha zilizoombwa na Tanroads, simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, alijibu: “Mimi ndiyo ninafanya mambo mengi. Tutaiweka kwenye utaratibu ili iende vizuri”.

Stendi ya Magufuli

Kwa upande mwingine, uongozi wa Manispaa ya Ubungo umetoa ufafanuzi kuwa changamoto zinazokwamisha kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya maeneo ya Stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi Luis ni kutotolewa kwa fedha zinazohitajika kwa wakati.

Ujenzi wa stendi hiyo kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoani ulioanza Februari 2019 bado haujakamilika kwa asilimia 100, jambo linalosababisha usumbufu kwa magari yanayosimama wakati wa kupakia na kushusha hasa usiku na asubuhi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhandisi wa Manispaa ya Ubungo, Masodoya John ambaye ni msimamizi wa mradi wa ujenzi wa stendi hiyo inayojengwa na kampuni ya Hainan ya China, alisema wanategemea mapato ya ndani kuendeleza ujenzi huo.

“Nikiri malipo huwa yanachelewa lakini sio kwa muda mrefu sana kiasi cha kuathiri utendajikazi kwa sababu ndani ya siku 18 mkandarasi anatakiwa awe ameshalipwa. Kukiwa na mapungufu kwenye kuwasilisha nyaraka ikaonekana kuna sehemu inatakiwa ufafanuzi kwa mwajiri ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa manispaa, fedha zinachelewa kutoka,” alisema.

Mtaalamu huyo wa ujenzi alifafanua: “Unaweza kukuta hazijaja tarehe 10 kwa sababu ya mapungufu katika kuandaa nyaraka za malipo.” John alibainisha changamoto nyingine zinazochelewesha kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kuwa ni kufanya usanifu wa mara kwa mara.

“Kitendo cha magari kulala eneo lile kunaweka ugumu. Kuna wakati tunalazimika kuruhusu magari kutoka na kuingia na changamoto hiyo inamlazimu mkandarasi kusimamisha ujenzi wakati mwingine. Hili linasababishwa na kulitumia eneo kabla ya ujenzi haujaisha,” alisema John.

Mhandisi huyo alisema mkandarasi wa mradi huo anajitahidi kutekeleza kila hatua kulingana na mkataba unavyotaka ambao unadumu hadi Desemba mwaka huu atakapomaliza ujenzi na kukabidhi mradi.

“Mategemeo yetu Desemba tunakabidhiwa mradi wetu ukiwa tayari ili tuanze kulitumia eneo kulingana na malengo yaliyokusudiwa,” alisema John, anayeamini baada ya kukamilika kwa ujenzi huo changamoto hizo zitaisha kwa asilimia kubwa, kwa sasa sehemu iliyokamilika yanasimama mabasi 104. Stendi hiyo ina sehemu ya kuegesha mabasi 204 kwa wakati mmoja, hivyo kukamilika kwake kutawanufaisha wananchi wanaoelekea maeneo tofauti kupitia Barabara ya Morogoro.

John alisema ujenzi wa stendi hiyo yenye thamani ya Sh50.9 bilioni bado unaendelea na kwa sasa mkandarasi anajenga daraja sehemu ambako mabasi yanaingilia.

Chanzo: Mwananchi


==========

Update:

Ukurasa wa Instagram wa Gerson msigwa ameandika kuwa taarifa hii si ya kweli na amewataka wananchi kupuuzia upotoshaji huo.

We bashite umeamua kuzusha mambo ya uongo kuichonganisha serikali ya awamu ya sita na wananchi.

Unajisumbua bure. Hutafanikiwa.

Serikali ya awamu ya sita inaendelea kuongoza nchi vizuri,na miradi yote ya zamani na mipya inayekelezwa kama kawaida.

Hivi karibuni serikali inaenda kujenga madarasa mapya 15,000 katika shule za sekondari nchi nzima bila kuchangisha wananchi. Watoto wote watakaochaguliwa kuanza kidato cha kwanza 2022,wataanza masomo wote pamoja,siyo kwa mafungu mafungu. Haijawahi kutokea katika nchi hii tangu uhuru madarasa mengi hivyo kujengwa na serikali bila kuchangisha wananchi.
 
Unacheka ujinga! Mungu anakuona!
kwani nimesema uongo mkuu.
hawa watu walijutapa sana.
hebu jiulize.
wafanyabiasha waliofungiwa account zao huku mtu anajitapa anatumia hela za ndani.

wakati huo deni linazidi kupanda.

jiwe amefikia kununua hindi la kucho kwa laki moja.
wewe mkuu hata ungekua tajili kiasi gani ungeweza kufanya vile.

ile ni anasa.na hela za za zulma malanyingi zinaishia kwenye anasa.

na ndiomaana unaona police wanaishigi maisha ya shida uzeeni kwasababu kula hela za zulma ujanani.
 
By initiating several major economic projects when the government has no clear source of funds means the government has bitten more than it can swallow.

The government could have got the funds to finance these projects from the multilateral donors but owing to its poor human rights record this seems to be out of question.

The projects will have to ground to halt until when the regime will come to its senses by upholding the fundamental principles of democracy and show respect for human rights.
 
By initiating several major economic projects when the government has no clear source of funds means the government has bitten more than it can swallow.

The government could have got the funds to finance these projects from the multilateral donors but owing to its poor human rights record this seems to be out of question.

The projects will have to ground to halt until when the regime will come to its senses by upholding the fundamental principles of democracy and show respect for human rights.
Acha kutetea ujinga nchi hii ni tajiri
 
Tatizo la mwenda zake hakuwa na vipaumbele

Anarukia rukia tu mambo

Mara SGR,Mara ndege,Mara Barabara,Mara bwawa

Kote huko kuna cost hela ndefu sana

Alikuwa anatafuta misifa tu.

Kwanza hio Barbara ya morogoro road kawavunjia masikini wengine Sana nyumba zao bila fidia maana Barbara imewakuta hapo.

Kafa hajaona hata mmoja ukikamilika

Hela zenyewe za dhuruma na kupora watu

Roho mbaya haijengi
Huyu Raisi tuliye nae sasa kajenga nini cha ziada? zaidi ya kukamilisha yale yote mazuri aliyoya asisi Hayati John Magufuli.

Magufuli atabaki kuwa Rais bora nyuma ya Nyerere.
 
Huyu Msigwa ni mwehu kabisa kwa wanao tumia barabara ya kimara-Kibaha wanajua fika serikali imekwama na hakuna watu site kama zamani..hii barbara ilianza kuyumba mwenzi wa nne ..ni kama kuna shida.. barabara imefika asilimia 94 yani asilimia 6 serikali imeshindwa kabisa.... kweli ujenzi wa SGR, bwawa la umeme na mambo mengine wataweza?
Hivi watanzania tumerogwa na nani? Hivi msigwa anapingana vipi na mtendaji mkuu wa Tanroads amabaye yuko jikonoi?
Msigwa anafikiri watanzania hawatumii hiyo barabara? Msigwa wewe ndio unapotosha ukweli ni kwamba barabara imekwama
Pia like daraja la wami kama sijakosea limesimama. Nimepitia hopo juzi juzi hakuna watu site.
 
kukulupukia miladi mingi mikubwa bila ya kutumia akili ndio tatizo.
jiwe kakwapua hela za alizowaida wezi ,kajitapa kua hela anazo kumbe wanaibia wafanya biashara.
mwisho wasiku kila mkandalasi anataka hela ya kuendelea na kazi , anaambiwa hela hamna mzee presha inampanda.
na ndio hivyo.

nakumbuka MOVIE ya idd amini.
anambiwa na gavana hela hakuna anasema hela zitaishaje tengeneza zingine.gavana kajichanganya kumwambia zitakua kama makaratasi.
hahahahahahahahahahhaahahahah..............


kwa ufupi jiwe hakua na watalam wa uchumi kabisa.
wachumi wake alikua polepole'sabaya yaani.hovyo kabisa.
Wewe una akili kweli?
Miradi imeshindwa kuendelea wakati wa jiwe ana Hangaya
 
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.

Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.

My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.

========

barabarapic.jpg

Dar es Salaam. Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia kujenga kipande cha kutoka Kimara hadi Kibaha na barabara za kuiunganisha barabara hiyo ya Morogoro na Kituo cha Mabasi cha Magufuli kutokana na ukosefu wa fedha.
“Kimsingi bado ujenzi unaendelea na hatuwezi kutoa mapipa yaliyopo kwenye Barabara ya Morogoro haraka, kwani itapunguza usalama hivyo kuongezeka ajali,” alisema Mativila.

Alisema wameomba fedha ili kukamilisha sehemu hizo na kuondoa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Katika barabara hiyo inayoendelea kujengwa ikiwa na njia nne za kwenda na nne za kurudi, Tanroads wameweka zaidi ya mapipa 4,280 na kingo 274 za zege kutenganisha mpaka na sehemu ya katikati ambayo ni kwa ajili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT).

“Tumeomba fedha za nyongeza serikalini ili kutengeneza kwa lami kipande cha barabara kutoka stendi na barabara kuu ili kuondoa changamoto ya matope pindi mvua inaponyesha,” alisema Mativila.

Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa fedha nyingine zitatumika kujenga mawe ya pembeni mwa Barabara ya Morogoro ili kutengeneza mipaka ya barabara hiyo na eneo linaloachwa kwa matumizi mengine.

“Kwa sasa gapestone (kingo) tulizoweka katikati hatuwezi kutoa, kwani tukifanya hivyo tunaweza kusababisha ajali nyingi, kwani madereva wengi wataendesha magari kwa kasi kutokana na uwazi kuwa mkubwa,” alisema.

Alipotafutwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kujua kiasi cha fedha zilizoombwa na Tanroads, simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, alijibu: “Mimi ndiyo ninafanya mambo mengi. Tutaiweka kwenye utaratibu ili iende vizuri”.

Stendi ya Magufuli

Kwa upande mwingine, uongozi wa Manispaa ya Ubungo umetoa ufafanuzi kuwa changamoto zinazokwamisha kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya maeneo ya Stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi Luis ni kutotolewa kwa fedha zinazohitajika kwa wakati.

Ujenzi wa stendi hiyo kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoani ulioanza Februari 2019 bado haujakamilika kwa asilimia 100, jambo linalosababisha usumbufu kwa magari yanayosimama wakati wa kupakia na kushusha hasa usiku na asubuhi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhandisi wa Manispaa ya Ubungo, Masodoya John ambaye ni msimamizi wa mradi wa ujenzi wa stendi hiyo inayojengwa na kampuni ya Hainan ya China, alisema wanategemea mapato ya ndani kuendeleza ujenzi huo.

“Nikiri malipo huwa yanachelewa lakini sio kwa muda mrefu sana kiasi cha kuathiri utendajikazi kwa sababu ndani ya siku 18 mkandarasi anatakiwa awe ameshalipwa. Kukiwa na mapungufu kwenye kuwasilisha nyaraka ikaonekana kuna sehemu inatakiwa ufafanuzi kwa mwajiri ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa manispaa, fedha zinachelewa kutoka,” alisema.

Mtaalamu huyo wa ujenzi alifafanua: “Unaweza kukuta hazijaja tarehe 10 kwa sababu ya mapungufu katika kuandaa nyaraka za malipo.” John alibainisha changamoto nyingine zinazochelewesha kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kuwa ni kufanya usanifu wa mara kwa mara.

“Kitendo cha magari kulala eneo lile kunaweka ugumu. Kuna wakati tunalazimika kuruhusu magari kutoka na kuingia na changamoto hiyo inamlazimu mkandarasi kusimamisha ujenzi wakati mwingine. Hili linasababishwa na kulitumia eneo kabla ya ujenzi haujaisha,” alisema John.

Mhandisi huyo alisema mkandarasi wa mradi huo anajitahidi kutekeleza kila hatua kulingana na mkataba unavyotaka ambao unadumu hadi Desemba mwaka huu atakapomaliza ujenzi na kukabidhi mradi.

“Mategemeo yetu Desemba tunakabidhiwa mradi wetu ukiwa tayari ili tuanze kulitumia eneo kulingana na malengo yaliyokusudiwa,” alisema John, anayeamini baada ya kukamilika kwa ujenzi huo changamoto hizo zitaisha kwa asilimia kubwa, kwa sasa sehemu iliyokamilika yanasimama mabasi 104. Stendi hiyo ina sehemu ya kuegesha mabasi 204 kwa wakati mmoja, hivyo kukamilika kwake kutawanufaisha wananchi wanaoelekea maeneo tofauti kupitia Barabara ya Morogoro.

John alisema ujenzi wa stendi hiyo yenye thamani ya Sh50.9 bilioni bado unaendelea na kwa sasa mkandarasi anajenga daraja sehemu ambako mabasi yanaingilia.

Chanzo: Mwananchi


==========

Update:

Ukurasa wa Instagram wa Gerson msigwa ameandika kuwa taarifa hii si ya kweli na amewataka wananchi kupuuzia upotoshaji huo.


70F311CA-CAE1-445B-B2A6-03C2DCA2E324.jpeg
 
Kama mapato ni trilioni 1.9 hiyo barabara itajengwa kwa fedha za ndani na itamalizika. Habari fulani ya kukwamisha lakini imeshashindwa tayari.
 
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.

Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.

My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.

========

barabarapic.jpg

Dar es Salaam. Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia kujenga kipande cha kutoka Kimara hadi Kibaha na barabara za kuiunganisha barabara hiyo ya Morogoro na Kituo cha Mabasi cha Magufuli kutokana na ukosefu wa fedha.
“Kimsingi bado ujenzi unaendelea na hatuwezi kutoa mapipa yaliyopo kwenye Barabara ya Morogoro haraka, kwani itapunguza usalama hivyo kuongezeka ajali,” alisema Mativila.

Alisema wameomba fedha ili kukamilisha sehemu hizo na kuondoa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Katika barabara hiyo inayoendelea kujengwa ikiwa na njia nne za kwenda na nne za kurudi, Tanroads wameweka zaidi ya mapipa 4,280 na kingo 274 za zege kutenganisha mpaka na sehemu ya katikati ambayo ni kwa ajili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT).

“Tumeomba fedha za nyongeza serikalini ili kutengeneza kwa lami kipande cha barabara kutoka stendi na barabara kuu ili kuondoa changamoto ya matope pindi mvua inaponyesha,” alisema Mativila.

Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa fedha nyingine zitatumika kujenga mawe ya pembeni mwa Barabara ya Morogoro ili kutengeneza mipaka ya barabara hiyo na eneo linaloachwa kwa matumizi mengine.

“Kwa sasa gapestone (kingo) tulizoweka katikati hatuwezi kutoa, kwani tukifanya hivyo tunaweza kusababisha ajali nyingi, kwani madereva wengi wataendesha magari kwa kasi kutokana na uwazi kuwa mkubwa,” alisema.

Alipotafutwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kujua kiasi cha fedha zilizoombwa na Tanroads, simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, alijibu: “Mimi ndiyo ninafanya mambo mengi. Tutaiweka kwenye utaratibu ili iende vizuri”.

Stendi ya Magufuli

Kwa upande mwingine, uongozi wa Manispaa ya Ubungo umetoa ufafanuzi kuwa changamoto zinazokwamisha kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya maeneo ya Stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi Luis ni kutotolewa kwa fedha zinazohitajika kwa wakati.

Ujenzi wa stendi hiyo kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoani ulioanza Februari 2019 bado haujakamilika kwa asilimia 100, jambo linalosababisha usumbufu kwa magari yanayosimama wakati wa kupakia na kushusha hasa usiku na asubuhi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhandisi wa Manispaa ya Ubungo, Masodoya John ambaye ni msimamizi wa mradi wa ujenzi wa stendi hiyo inayojengwa na kampuni ya Hainan ya China, alisema wanategemea mapato ya ndani kuendeleza ujenzi huo.

“Nikiri malipo huwa yanachelewa lakini sio kwa muda mrefu sana kiasi cha kuathiri utendajikazi kwa sababu ndani ya siku 18 mkandarasi anatakiwa awe ameshalipwa. Kukiwa na mapungufu kwenye kuwasilisha nyaraka ikaonekana kuna sehemu inatakiwa ufafanuzi kwa mwajiri ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa manispaa, fedha zinachelewa kutoka,” alisema.

Mtaalamu huyo wa ujenzi alifafanua: “Unaweza kukuta hazijaja tarehe 10 kwa sababu ya mapungufu katika kuandaa nyaraka za malipo.” John alibainisha changamoto nyingine zinazochelewesha kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kuwa ni kufanya usanifu wa mara kwa mara.

“Kitendo cha magari kulala eneo lile kunaweka ugumu. Kuna wakati tunalazimika kuruhusu magari kutoka na kuingia na changamoto hiyo inamlazimu mkandarasi kusimamisha ujenzi wakati mwingine. Hili linasababishwa na kulitumia eneo kabla ya ujenzi haujaisha,” alisema John.

Mhandisi huyo alisema mkandarasi wa mradi huo anajitahidi kutekeleza kila hatua kulingana na mkataba unavyotaka ambao unadumu hadi Desemba mwaka huu atakapomaliza ujenzi na kukabidhi mradi.

“Mategemeo yetu Desemba tunakabidhiwa mradi wetu ukiwa tayari ili tuanze kulitumia eneo kulingana na malengo yaliyokusudiwa,” alisema John, anayeamini baada ya kukamilika kwa ujenzi huo changamoto hizo zitaisha kwa asilimia kubwa, kwa sasa sehemu iliyokamilika yanasimama mabasi 104. Stendi hiyo ina sehemu ya kuegesha mabasi 204 kwa wakati mmoja, hivyo kukamilika kwake kutawanufaisha wananchi wanaoelekea maeneo tofauti kupitia Barabara ya Morogoro.

John alisema ujenzi wa stendi hiyo yenye thamani ya Sh50.9 bilioni bado unaendelea na kwa sasa mkandarasi anajenga daraja sehemu ambako mabasi yanaingilia.

Chanzo: Mwananchi


==========

Update:

Ukurasa wa Instagram wa Gerson msigwa ameandika kuwa taarifa hii si ya kweli na amewataka wananchi kupuuzia upotoshaji huo.

Msigwa kwa taarifa yako ni kwamba kama msemaji wa serikali kuna mambo huyajui kwa sababu yeye anasubiri tu aletewe taarifa kutoka kwa wahusika (spoon feed).

So unapobisha analoeleza mtalaam ni wazi kwamba hujui majukumu na mipaka yako ya kazi.
 
Sisi tucheke cheke,wahuni wameanza kuhamisha mapipa barabarani na kufanya magari yapate ajari hovyo.ITV Habari 21/12/2021.
Ni miezi mitatu toka Hii Habari ikanushwe.
Msigwa huko uliko najua onaona aibu .
 
Back
Top Bottom