Wakuu kwenye hii barabara ya kwenda Ubungo Makoka kupitia kwa Mzee wa Upako, kuna kipande kama mita 300 kinaongezwa kwa kiwango cha lami inaenda miezi minne mpaka sasa hakijamalizika.
Jamaa wakijisikia wanafunga barabara hamna gari kupita, njia mbadala ni milimani na ndogo magari hayapishani.
Kama saivi imefungwa siku ya tatu na hamna kazi inaendelea, wahusika tafadhali walitazame hili wananchi wanateseka.
Asante
Jamaa wakijisikia wanafunga barabara hamna gari kupita, njia mbadala ni milimani na ndogo magari hayapishani.
Kama saivi imefungwa siku ya tatu na hamna kazi inaendelea, wahusika tafadhali walitazame hili wananchi wanateseka.
Asante