Barabara za Jiji la Mwanza zakosa huduma za taa za usiku

Barabara za Jiji la Mwanza zakosa huduma za taa za usiku

T2020CDM

Senior Member
Joined
Oct 17, 2020
Posts
134
Reaction score
212
Nimepata bahati ya kuingia katika Jiji la Mwanza usiku wa Jana kiukweli mji ni mzuri Sana Cha kunishangaza nimepokelewa na Giza Totoro Sasa najiuliza hivi mamlaka husika hazioni hili tatizo?

Nimeongea na wenyeji wangu wadai wamezoea Giza maana Kama taa zote zinatumia mfumo wa umeme jua kwanini wahusika wamekaa kimya bila kujali sisi wapita njia. Wameenda mbali na kusema hakika watamkumbuka daima hayati Raisi wetu kipenzi Magufuli.

Inasikitisha Sana kuona nchi jirani zetu haya Mambo huwezi yakuta kwanini kwetu watu hawajali wako ofisini tuu wanacheza na viti vya kuzunguka. Wadau walioko Mwanza bisheni hili Kama kweli Mwanza taa za barabarani zinawaka.
 
Cha ajabu ni nini hapo ikiwa hawajalipa umeme Tanesco?

Nani aliwaroga wasinunue solar?

Aisee Mwanza ya Sukuma gang inaongoza kwa kero na kufunguliwa thread as if kuna kitu cha maana hapo Mwanza
 
Cha ajabu ni nini hapo ikiwa hawajalipa umeme Tanesco?

Nani aliwaroga wasinunue solar?

Aisee Mwanza ya Sukuma gang inaongoza kwa kero na kufunguliwa thread as if kuna kitu cha maana hapo Mwanza
Soma vizuri andiko langu ndg nimesema taa zote zimefungwa kwa mfumo wa umeme jua. Na haziwaki.
 
Sasa kama majumbani tunateseka iweje kwa hizo barabara. Ngoma draw
 
Back
Top Bottom