Barabara za Kahama mjini haziendani na Kasi ya ukuaji wa mji

Barabara za Kahama mjini haziendani na Kasi ya ukuaji wa mji

kadeti

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
1,115
Reaction score
1,105
Nimetembelea kahama Leo takribani siku ya Tano mfululizo mita Kwa mitaa naona jinsi biashara zilivyoshamiri, Kahama Kuna pool kubwa Sana ya walipa Kodi kiasi kwamba naona TRA kana kwamba hawawezi kuwafikia wote.

Kwa ujumla mji wa Kahama umechangamka Sana kibiashara kila angle zote za mji, Kati ya mji pembezoni uko km unaelekea migodi ilipo unaona kabisa dalili ya pesa iyo.

Kahama wakazi kuingia dukani na Kuomba punguzo la bidhaa kwao hilo hakuna ni mwendo wa kununua tu,jamaa wanamzunguko mzuri Sana wa kiuchumi...Kwa sasa nahisi unachangiwa Sana migodi midogo midogo pamoja na mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda.

Lakini Cha kushangaza jamani Kahama barabara ni mbovu balaah.

Najaraibu kuwauliza wakazi wa mji wao wanawatupia lawama madiwani na mbunge wao Kishimba Kwa kushindwa kuwaletea barabara nzuri ingawa halmshauri wa mji wa Kahama kuwa na makusanyo makubwa Sana kulinganisha na halmshauri za miji mingine, lkn miundombinu Yao ni mibovu kuliko...

Jamani chonde chonde mji wenu ni mzuri Kwa Uwekezaji lkn miundombinu ya barabara ndo changamoto....
 
Mm pia niko hapa kahama wiki moja sasa mji unakuwa kwa kasi sana kuelekea machimbo ya buzwagi na Kagogwa kahama miaka kumi ijayo itakuwa kama mwanza tatizo barabara haziendani kabisa na mji.
 
Kuna club inaitwa D4N kuanzia lile enjoy kuna watu wanashusha mijumba na shell za maana sijui kama kuna vimiji vinashell za maana kama kahama maana kila atua kumi ni shell.
.
 
Nimetembelea kahama Leo takribani siku ya Tano mfululizo mita Kwa mitaa naona jinsi biashara zilivyoshamiri, Kahama Kuna pool kubwa Sana ya walipa Kodi kiasi kwamba naona TRA kana kwamba hawawezi kuwafikia wote.

Kwa ujumla mji wa Kahama umechangamka Sana kibiashara kila angle zote za mji, Kati ya mji pembezoni uko km unaelekea migodi ilipo unaona kabisa dalili ya pesa iyo.

Kahama wakazi kuingia dukani na Kuomba punguzo la bidhaa kwao hilo hakuna ni mwendo wa kununua tu,jamaa wanamzunguko mzuri Sana wa kiuchumi...Kwa sasa nahisi unachangiwa Sana migodi midogo midogo pamoja na mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda.

Lakini Cha kushangaza jamani Kahama barabara ni mbovu balaah.

Najaraibu kuwauliza wakazi wa mji wao wanawatupia lawama madiwani na mbunge wao Kishimba Kwa kushindwa kuwaletea barabara nzuri ingawa halmshauri wa mji wa Kahama kuwa na makusanyo makubwa Sana kulinganisha na halmshauri za miji mingine, lkn miundombinu Yao ni mibovu kuliko...

Jamani chonde chonde mji wenu ni mzuri Kwa Uwekezaji lkn miundombinu ya barabara ndo changamoto....
Kishimba anachojua ni kuponda watu waliosoma
 
Nimetembelea kahama Leo takribani siku ya Tano mfululizo mita Kwa mitaa naona jinsi biashara zilivyoshamiri, Kahama Kuna pool kubwa Sana ya walipa Kodi kiasi kwamba naona TRA kana kwamba hawawezi kuwafikia wote.

Kwa ujumla mji wa Kahama umechangamka Sana kibiashara kila angle zote za mji, Kati ya mji pembezoni uko km unaelekea migodi ilipo unaona kabisa dalili ya pesa iyo.

Kahama wakazi kuingia dukani na Kuomba punguzo la bidhaa kwao hilo hakuna ni mwendo wa kununua tu,jamaa wanamzunguko mzuri Sana wa kiuchumi...Kwa sasa nahisi unachangiwa Sana migodi midogo midogo pamoja na mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda.

Lakini Cha kushangaza jamani Kahama barabara ni mbovu balaah.

Najaraibu kuwauliza wakazi wa mji wao wanawatupia lawama madiwani na mbunge wao Kishimba Kwa kushindwa kuwaletea barabara nzuri ingawa halmshauri wa mji wa Kahama kuwa na makusanyo makubwa Sana kulinganisha na halmshauri za miji mingine, lkn miundombinu Yao ni mibovu kuliko...

Jamani chonde chonde mji wenu ni mzuri Kwa Uwekezaji lkn miundombinu ya barabara ndo changamoto....
mi5 tena kwa mama
 
Kahama siyo Halmashauri ya Mji tena,ni Manispaa!

Hizi barabara nyembamba (ulimi wa mbwa) zimejengwa chini ya DED aliyepita.

Imagine,Barabara inayougawa mji kati (Tbr&Ngaya Rd) huwezi kusimama kuchukua namba ya Pisi or else utatengeneze bonge la foleni.

Barabara hizo hazina kando ni unasimama katikati tu.
 
Hujuma ya makao makuu shinyanga inaweza kuwa ndio sababu.
Kwa nini ifanyiwi kama ilivyo fanyiwa shinyanga yani shinyanga kumedolola sana ila wanalazima barabara mpaka za ndani ndani rami na mataa huku wakiacha kahama hivyo hivyo
 
Hujuma ya makao makuu shinyanga inaweza kuwa ndio sababu.
Kwa nini ifanyiwi kama ilivyo fanyiwa shinyanga yani shinyanga kumedolola sana ila wanalazima barabara mpaka za ndani ndani rami na mataa huku wakiacha kahama hivyo hivyo
Hapana Wala siyo hujuma za Mkoa km unavyohaminishwa, ni tatizo la madiwani na wasimamizi wa iyo manispaa wa mji wa kahama.
 
Back
Top Bottom