KERO Barabara za Masaki na Oysterbay zimechoka mno, haziendani na hadhi yake na zinafedhehesha

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hata kinondoni yangu ina miundombinu mbinu mizuri kuliko masaki obay

Ova
 
Huku toka wamebadili matumizi ya ardhi kumekuwa kwa kijinga mno
 
Kapicha mkuu, nione DMDP ilivyofanya mambo
 
Ndio umejua leo?
 
Ndio umejua leo?
Hapana nilikuaga sijakereka vizuri hadi kuandikia uzi. Inashangaza sana maeneo muhimu kama haya ambayo yanabeba taswira ya taifa kuwa na miundombinu ya hovyo kiasi hiki
 
Acha tusindikize na picha

Ova
 

Attachments

  • 20241019_110753.jpg
    470 KB · Views: 3
  • 20241019_105347.jpg
    476.1 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…