Barabara za Tabata Kimanga ni Mbovu sana

Barabara za Tabata Kimanga ni Mbovu sana

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Nimeenda kumtembelea shangazi yangu yupo kimanga; aiseee! Sikuwai kuona barabara mbovu kama ile. Yaani ni siyo kwa mashimo yale. Binafsi kichwa, mgongo na kiuno vinauma. Sasa nikawa najiuliza, huku mimba hazichoropoki? Watoto dish zao (akili) haziyumbi? Vyombo vya moto navyo haviko salama hata kidogo.

Laiti shangazi angekuwa amepanga basi tungemshauri ahame.
 
Nimeenda kumtembelea shangazi yangu yupo kimanga; aiseee! Sikuwai kuona barabara mbovu kama ile. Yaani ni siyo kwa mashimo yale. Binafsi kichwa, mgongo na kiuno vinauma. Sasa nikawa najiuliza, huku mimba hazichoropoki? Watoto dish zao (akili) haziyumbi? Vyombo vya moto navyo haviko salama hata kidogo.

Laiti shangazi angekuwa amepanga basi tungemshauri ahame.
Wenyewe wanaoishi Tabata wanaona kama wako New York
 
Nimeenda kumtembelea shangazi yangu yupo kimanga; aiseee! Sikuwai kuona barabara mbovu kama ile. Yaani ni siyo kwa mashimo yale. Binafsi kichwa, mgongo na kiuno vinauma. Sasa nikawa najiuliza, huku mimba hazichoropoki? Watoto dish zao (akili) haziyumbi? Vyombo vya moto navyo haviko salama hata kidogo.

Laiti shangazi angekuwa amepanga basi tungemshauri ahame.
Njop
Wanapombeka hao. Kila kona pub. Wamesahau kufuatilia maendeleo.
Bora huko.njoo kitunda ni zaidi
 
Yeah mkuu Tanzania yangu hadi titakapotambua wapi tulipotea na kukiri kuwa sisi bado ,ndio siku tutakapoanza kufanya kazi smart kwa sasa kila kitu kipo politicized,hayo mashimo yaangalie mkuu yasije kukurusha hadi kwenye mahusiano ambayo huku yapanga
 
Wanapombeka hao. Kila kona pub. Wamesahau kufuatilia maendeleo.
Imenikumbusha mitaa hiyo kulikuwa na kinyozi mmoja ilikuwa ukiingia kwenye saloon yake kunyoa, anasema tunanyoa nywele za aina zote na kila sehemu, siku moja mama mmoja akamwambia hayo maneno usituambie huku ndani, andika hapo nje, akasema serikali itamnyakua🤣
 
Nimepita juzi hiyo njia mpaka nafika Kimanga kichwa kinaniuma.
 
Nimeenda kumtembelea shangazi yangu yupo kimanga; aiseee! Sikuwai kuona barabara mbovu kama ile. Yaani ni siyo kwa mashimo yale. Binafsi kichwa, mgongo na kiuno vinauma. Sasa nikawa najiuliza, huku mimba hazichoropoki? Watoto dish zao (akili) haziyumbi? Vyombo vya moto navyo haviko salama hata kidogo.

Laiti shangazi angekuwa amepanga basi tungemshauri ahame.
Kwani yule mbunge Bonah Kimole ameshaolewa au bado yupo single nianze mchakato
 
Back
Top Bottom