Wenyewe wanaoishi Tabata wanaona kama wako New YorkNimeenda kumtembelea shangazi yangu yupo kimanga; aiseee! Sikuwai kuona barabara mbovu kama ile. Yaani ni siyo kwa mashimo yale. Binafsi kichwa, mgongo na kiuno vinauma. Sasa nikawa najiuliza, huku mimba hazichoropoki? Watoto dish zao (akili) haziyumbi? Vyombo vya moto navyo haviko salama hata kidogo.
Laiti shangazi angekuwa amepanga basi tungemshauri ahame.
Wanapombeka hao. Kila kona pub. Wamesahau kufuatilia maendeleo.Wenyewe wanaoishi Tabata wanaona kama wako New York
NjopNimeenda kumtembelea shangazi yangu yupo kimanga; aiseee! Sikuwai kuona barabara mbovu kama ile. Yaani ni siyo kwa mashimo yale. Binafsi kichwa, mgongo na kiuno vinauma. Sasa nikawa najiuliza, huku mimba hazichoropoki? Watoto dish zao (akili) haziyumbi? Vyombo vya moto navyo haviko salama hata kidogo.
Laiti shangazi angekuwa amepanga basi tungemshauri ahame.
Bora huko.njoo kitunda ni zaidiWanapombeka hao. Kila kona pub. Wamesahau kufuatilia maendeleo.
Imenikumbusha mitaa hiyo kulikuwa na kinyozi mmoja ilikuwa ukiingia kwenye saloon yake kunyoa, anasema tunanyoa nywele za aina zote na kila sehemu, siku moja mama mmoja akamwambia hayo maneno usituambie huku ndani, andika hapo nje, akasema serikali itamnyakua🤣Wanapombeka hao. Kila kona pub. Wamesahau kufuatilia maendeleo.
Kwani yule mbunge Bonah Kimole ameshaolewa au bado yupo single nianze mchakatoNimeenda kumtembelea shangazi yangu yupo kimanga; aiseee! Sikuwai kuona barabara mbovu kama ile. Yaani ni siyo kwa mashimo yale. Binafsi kichwa, mgongo na kiuno vinauma. Sasa nikawa najiuliza, huku mimba hazichoropoki? Watoto dish zao (akili) haziyumbi? Vyombo vya moto navyo haviko salama hata kidogo.
Laiti shangazi angekuwa amepanga basi tungemshauri ahame.