Barack Obama amuomboleza bibi yake kutoka Kenya kwa kuandika maneno haya

Barack Obama amuomboleza bibi yake kutoka Kenya kwa kuandika maneno haya

nani anaficha wewe nduza!!!

Hizi hasira zote za nini, na mtakoma naskia mnakutwa na dola mamilioni mumeficha kwenye mifuko, yaani kweli hiyo awamu mlitafuna sio mchezo.
Ujinga sana kuficha hela yote hiyo nyumbani, mkazifukie maporini hehehehe
 
Hizi hasira zote za nini, na mtakoma naskia mnakutwa na dola mamilioni mumeficha kwenye mifuko, yaani kweli hiyo awamu mlitafuna sio mchezo.

tulitafuta na maendeleo tukafanya,hatuibi kimafia kama kenya.
 
tulitafuta na maendeleo tukafanya,hatuibi kimafia kama kenya.

Mandeleo yapi haswa, kipi mlikamilisha kikaonekana maana SGR bado iko maporini sijui kitu gani huwa mnachimba huko, ATCL ndio hasara imetajwa jameni....korosho wakulima mpaka leo kilio...labda kule Chato kuna runaway ambayo sijui kitu gani kitakua kinatua huko....
 
Mandeleo yapi haswa, kipi mlikamilisha kikaonekana maana SGR bado iko maporini sijui kitu gani huwa mnachimba huko, ATCL ndio hasara imetajwa jameni....korosho wakulima mpaka leo kilio...labda kule Chato kuna runaway ambayo sijui kitu gani kitakua kinatua huko....

endelea kukuna tako ukisikia raha[emoji38][emoji38][emoji38].
 
acheni ufala wajinga nyinyi.

wasife wazee sasa kila kifo ni corona,yaani bibi kama huyo mwenye mjukuu wa 64yrs afe mnamalizia tu corona hiyoo.

ujinga ni mzigo mkubwa.
Aisee!
 
Anazikwa leo itasemwa lini.

Huyo atakuwa KAFA KWA CORONA.

Hehehe kwa namna unavyoshupalia, huyo ni private citizen hivyo tusubiri itasemwa na wahusika, hatuna haki ya kulazimisha kufahamu....
 
Hehehe kwa namna unavyoshupalia, huyo ni private citizen hivyo tusubiri itasemwa na wahusika, hatuna haki ya kulazimisha kufahamu....
Huyo sio private citizen,huyo ni bibi yake wa ALIYEKUWA RAIS WA USA OBAMA na ndio maana vyombo vyote vya habari via kimataifa vimeripoti na hata kuumwa kwake serikali yako ilikuwa inajua.

Private citzen ni kama wewe hata ukifa,serikali yako tu ya mtaa haikujui ila si bibi yake Obama.

MIMI NA KWAMBIA HUYU KAFA KWA CORONA.
 
Mandeleo yapi haswa, kipi mlikamilisha kikaonekana maana SGR bado iko maporini sijui kitu gani huwa mnachimba huko, ATCL ndio hasara imetajwa jameni....korosho wakulima mpaka leo kilio...labda kule Chato kuna runaway ambayo sijui kitu gani kitakua kinatua huko....
Hujui kama chato kuna national park?? Sikia nikuambie jirani. Sgr ni lazima iishe ATC imepata hasara ya bil 60 while kQ imepata hasara ya bil 700 nani ana hasara zaidi??? Doller 300m unajenga nyumba ngapi pale kibera wanyonge wakaishi kama binadamu wengine?? [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Huyo sio private citizen,huyo ni bibi yake wa ALIYEKUWA RAIS WA USA OBAMA na ndio maana vyombo vyote vya habari via kimataifa vimeripoti na hata kuumwa kwake serikali yako ilikuwa inajua.

Private citzen ni kama wewe hata ukifa,serikali yako tu ya mtaa haikujui ila si bibi yake Obama.

MIMI NA KWAMBIA HUYU KAFA KWA CORONA.

Private citizen - a citizen who does not hold any official or public position....
Huyu hakua na ofisi yoyote kwenye uongozi wa nchi hii, hivyo sisi kama raia wa nchi hii hatuna haki ya kulazimisha kupewa taarifa za nini kilimsibu, iwe corona au la.
 
Back
Top Bottom