ila heri kuoa sura nzuri bhana mengi tutavumiliana
Basi tu...Kafanyaje?
Basi tu...
kuna enzi flani bhana nilikuwa na kampani ya karibu na hawa wasanii,nikiwa na dem,aaah baada ya mda si akachukuliwa na msanii wa bongo fleva,akaanza kunidharau ile mbaya,nikampotezea mazima,baada ya mda kaachwa anajileta tena na nilishakuwa na mwingine,nilimchinjia baharini.Hawa madem aisee just fu.k everything and run away.daa noma sana! Bana!
Baada ya kurudi ktk hali ya umaskini si lazma watuteme tu mkuu! Sisi tutawavumilia ila tatizo lipo kwao ! Penda sana maisha ya juu!
Yaani hawa madem wa kibongo sijui vip!
Ukimtoa kijijini !
Akianza tu kuvijua vimini tayari majanga !
Eee lazima afunike maana hapo hua panampunguzia mawazo yote ya Iran hadi urusi
Ngoja tu nife kijerumani tai shingoni...Funguka embu, ndo nini kukaa na kitu rohoni ivo? Sema me nakuskiliza
inaonekana mtam sanaNimefikiriaa papuch ya Michelle inavyompa raha Obama ndio maana kafunikaa mchezoii
inaonekana mtam sana
ila kweli ndo hivo,kila mtu na mtamu wakeKila mtu hua ni mtamu kwa mlaji wakee,unaweza kumpata Michelle ukakimbiaa mpaka ukashangaa huyu Obama hapa kang'ang 'ania ninii
Nimeona mkuu,ni noma hahahasi umemcheki OBAMA kwenye iyo Picha niliyo ku PM !
Huyuu jamaa ana tamaa kwa kiasi furani ! Na ---e za watu !
Kazi nzuri...
Sio kila mtu aone
Obama, Obama jamani obama....
Mwe!Mwe!
Kidhungu hiki jamani!ehn