Baracka da Prince yupo busy na Najma, amesahau hata muziki

Baracka da Prince yupo busy na Najma, amesahau hata muziki

Baraka ze prince ajuagi kuimba anabebwa na media tu,MTU mwenyew mweus kama weli chafu,bora angeigiza movie za kutisha kidogo afadhali,pili #Naj naye cjui kampendea nn huyu kenge
 
Mbona kama inakuuma hv
Demu alimzingua mbaya, mshikaj alikonda kinyama jamaa akaamua kukilipua na kubadili dini....sasa hv hata mziki hajali kabisa yaani...kazi kumpost najma tuu amesahau kwamba mziki ndo ulimfanya akampata Najma, na akikaza kwenye mziki atawapata wengi tu wa namna ile....Basi akumbuke mziki bas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraka ze prince ajuagi kuimba anabebwa na media tu,MTU mwenyew mweus kama weli chafu,bora angeigiza movie za kutisha kidogo afadhali,pili #Naj naye cjui kampendea nn huyu kenge
Baracka kuimba anajua..labda tatizo lipo kwenye utunzi....Uchawi wa wanawake ni umaarufu na pesa...ukiwa maarufu utapendwa na kila mwanamke..kusikika kwa baracka ndo kulikomdatisha Naj
 
In fact anachoongea Slowly ni ukweli mtupu japo wapo wanaomkejeli lakini huyu dogo Prince inabidi ajipange upya afocus kwenye music wake, otherwise asipokuwa makini anaweza akapoteza vyote mziki wake na huyo mwanamke. Hii pia nimeiona kwa huyu kijana Benpol hawa vijana sijui wamerogwa na nani...
 
Back
Top Bottom