Baracka Mpenja'Sports Commentator n'nae mkubali zaidi Bongo'

Baracka Mpenja'Sports Commentator n'nae mkubali zaidi Bongo'

Huyu bwana na kuna yule mwingine anaitwa Kidedea nafikiri.. Wana talanta ya utangazaji.. Ukichangia na darasani basi burudani.
Kidedea huyu huyu anayetangaza mpira kama anasoma juzuu?
 
Sio yule sijui shafia alitoa habari kuwa kocha zahra harudi tena, sijui nini zahera alivyomjibu duh kakaa kimyaaa
 
"Chama anza vizuri kwake Bocco Bocco ana'turn vizuri kabisa pale .Pembeni Kwake Hassan Dilunga HD..Dilunga mwaga ndani kuleee Cluuuuuuuuuuu.....Maajabu!!!,Maajabu!!!,(Anakaa kimya kama dakika mbili. hivi).....Haya ni maajabu linafungwa goli gani hili??Macho yako yameona kama mimi.!?...Nauliza Macho yako yameona kama mimi..?!....Nani walisema Simba hawaendi Hatua ya Makundi..!!??".
Mpe neno moja huyu Jombaa ni moja ya Watangaza mpira live bora hapa Bongo kwa era hii kutoka Azam Media.
@ChaliiYaKijengeJuu.
1. Mechi ya Mbao Fc vs Yanga goli la kwanza la Habib Haji Kiombo.

2.Mechi ya Simba vs Yanga nusu fainali ya AZFC.goli zote nne.

3. Mechi ya Simba vs Nkana Red Devils magoli yote matatu.

4.Mechi ya Simba vs Js Soura goli la Emanuel Okwi.

Funga kazi hizi huwa nazisikiliza mara kwa mara.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Huwa nikionaga mtu anamsifia huyu jamaa namuona mshamba,kwenye tv hakutakiw kutangazwa vile maneno meng ya nn wakat kila mtu anaona,alipaswa kutangaza hivyo UFM
 
"Asalaam Alyekum Dar Es Salaam, Asalaam Alyekum Tanzania, Asalaam Alyekum Afrika Mashariki na kati, Asalaam Aleykum Ulimwengu wa soka....Popote pale unapotupata....[emoji120]Karibu sana kwenye Mtanange 'Bab kubwa'...Mtanange wa hadhi kubwa....Mtanange wa watani jadi, wengine huita 'Dabi ya Kariakoo', Wekundu wa Msimbazi Simba, Mfalme wa Nyika na Mabingwa wa kandanda Tanzania, wakikabiliana na Mabingwa wa Kihistoria wa Soka la Tanzania, Young Africans, Timu ya Wananchi....... Tupo Live kutoka Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam...Hakika umefanyika Usajili mkubwa kwa timu zote na maandalizi mazito....Nani kuibuka na pointi tatu?, tuna nafasi ya kushuhudia wakali hawa wa Kariakoo wakipepetana Dimbani"....Mimi ni Baraka Mpenja, Sauti ya Radi' mwenzangu ni James Samwel, kuwa nasi kwa dakika tisini za kipute hiki".[emoji56]


Much respected MPENJA[emoji1320][emoji1320]
kumbe ni mbaguzi wa dini, why atumie Salam ya kiislam tu , na asichanganye na za kikristo ka wafanyavyo wahombea...?
 
"Chama anza vizuri kwake Bocco Bocco ana'turn vizuri kabisa pale .Pembeni Kwake Hassan Dilunga HD..Dilunga mwaga ndani kuleee Cluuuuuuuuuuu.....Maajabu!!!,Maajabu!!!,(Anakaa kimya kama dakika mbili. hivi).....Haya ni maajabu linafungwa goli gani hili??Macho yako yameona kama mimi.!?...Nauliza Macho yako yameona kama mimi..?!....Nani walisema Simba hawaendi Hatua ya Makundi..!!??".
Mpe neno moja huyu Jombaa ni moja ya Watangaza mpira live bora hapa Bongo kwa era hii kutoka Azam Media.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Ni mzuri sana
 
Huwa nikionaga mtu anamsifia huyu jamaa namuona mshamba,kwenye tv hakutakiw kutangazwa vile maneno meng ya nn wakat kila mtu anaona,alipaswa kutangaza hivyo UFM
Mbona kama wewe ndo mshamba
 
"Chama anza vizuri kwake Bocco Bocco ana'turn vizuri kabisa pale .Pembeni Kwake Hassan Dilunga HD..Dilunga mwaga ndani kuleee Cluuuuuuuuuuu.....Maajabu!!!,Maajabu!!!,(Anakaa kimya kama dakika mbili. hivi).....Haya ni maajabu linafungwa goli gani hili??Macho yako yameona kama mimi.!?...Nauliza Macho yako yameona kama mimi..?!....Nani walisema Simba hawaendi Hatua ya Makundi..!!??".
Mpe neno moja huyu Jombaa ni moja ya Watangaza mpira live bora hapa Bongo kwa era hii kutoka Azam Media.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Tunaomba mechi yetu na wananchi ya tarehe 7 novemba Charles Hilary naye aungane na Huyu Mpenja watangaze mechi hii kwani lile pira biriani linahitaji mtangazaji biriani pia.kwa nyie vijana amvao hamkumsikia Charles enzi zile akitangaza hii iwe fursa yenu
 
Back
Top Bottom