Activity Ratio
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 554
- 577
Ni uma mkuu sio huma. Asante!Punguza kukurupuka mkuu....Ali Alisema Label anayo toka kitambo ila hakuwahi Kuitangaza.
So usipotoshe Huma kwa kusema kafungua label hivi karibuni.
Mashabiki wa kibakuli wamezidiwa na mahaba tuu tena wengi wao kichwan ni sifuri kimuzikiWw acha kumfanamisha kiba na,wamuka mazwa kiba,sio wakusainishwa lable uchwara ww
Haya kiba mdau katoa jina huku.Basi iwe Unknown records.
Very stupid but is happening aiseeKweli teja habebeki yaani lordeyes kafikia hatua ya kusainiwa na vijana walio anza game juzi!
Mkuu ndugu zake weusi wameshindwa kabisa kuokoa jahazi noma sana!Very stupid but is happening aisee
Mashabiki wengi wa Kiba hawamjui Kiba, kwa hiyo hata utetezi wao ni wa kufikirika.Aha ha eti Kiba ana label tangu zamani[emoji23][emoji23] wakiulizwa zamani ipi hawajui, hiyo lebel inamiliki wasanii gani hawajui, hiyo lebel inaitwaje hawajui, kila kitu kwao hawajui yaani hawamjui Kiba wala yanayomhusu Kiba hata anapoishi hawapajui lkn watakuambia ana mjengo somewhere [emoji23]Duh! hawa watetezi wa kiba ukisoma comment zao lazima ucheke asee
Amesha mu sign Kingwendu na abbyskils na mr niceKutangaza label ni show off? Kama huitangazi label yako nani ataijua ? Nadhan unachoongea sio kweli...
Kiba salome nikilaaazakumbe kutangaza kama unamiliki label ni show off! Sasa ametangaza kwahiyo sasa hivi anapenda show off?
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji86] [emoji86] [emoji86]Wamsajili na Le Mutuz