Baraka Bus & Maning Nice Bus: Tuchukue tafadhari kabla ya hatari

Baraka Bus & Maning Nice Bus: Tuchukue tafadhari kabla ya hatari

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Pamoja na jitihada zetu za kitokomeza ajali barabarani bado kampuni hizo tajwa hazijaelewa somo.

Nimesafiri na mabasi haya kwa nyakati tofauti tofauti na kujionea uvunjifu mkubwa wa usalama barabarani. Zaidi kwa route za kusini (Mtwara, Lindi, Masasi na Tunduru)

Na leo pia nimesafiri kwa basi la Baraka linanokwenda Tunduru. Nimeona tena hali ya ushindani na gari la Miningnice, zinafukuzana kwa mwendo wa hatari.

Tunapita vituo vingi vya Traffic sioni Askari kuingia katika basi kuuliza Wala hata kuhoji kwa abiria.

Hakika mwendo ni wa hatari, mtuombee tuu na kutupatia msaada.
 
Pamoja na jitihada zetu za kitokomeza ajali barabarani bado kampuni hizo tajwa hazijaelewa somo.

Nimesafir na mabasi haya kwa nyakati tofauti tofauti na kujionea uvunjifu mkubwa wa usalama barabarani. Zaidi kwa route za kusini (Mtwara, Lindi, Masasi na Tunduru).

Na leo pia nimesafiri kwa basi la Baraka linanokwenda Tunduru. Nimeona tena hali ya ushindani na gari la Miningnice, zinafukuzana kwa mwendo wa hatari.

Tunapita vituo vingi vya Traffic sioni Askari kuingia katika basi kuuliza Wala hata kuhoji kwa abiria.

Mbaya zaidi, gari limejaza vibaya. Siti zote na korido yote imekalishwa na kusimamishwa abiria.

Hakika mwendo ni wa hatari, mtuombee tuu na kutupatia msaada tuokoe maisha yetu.
 
Na ukiripoti kwa mamlaka husika unachomewa na kuanza kutishiwa na wahusika
 
Hilo basi la Baraka limesha ondoa uhai wa watu kadhaa hivi karibuni akiwemo na askari polisi wa kike. Basi limetengenezwa na limerudi barabarani kama kawaida.
 
We fala ni mpuuzi. Hujui chochote. Unajua kupanda na kushuka tu kwenye basi. Pongo...
 
We fala ni mpuuzi. Hujui chochote. Unajua kupanda na kushuka tu kwenye basi. Pongo...
We mjanja hongera kwa kujua kuendesha na kukimbiza magari ila sidhani kama umeshawahi kuona mtu aliyekatika miguu tokana na ajali.
 
Pamoja na jitihada zetu za kitokomeza ajali barabarani bado kampuni hizo tajwa hazijaelewa somo.

Nimesafiri na mabasi haya kwa nyakati tofauti tofauti na kujionea uvunjifu mkubwa wa usalama barabarani. Zaidi kwa route za kusini (Mtwara, Lindi, Masasi na Tunduru)

Na leo pia nimesafiri kwa basi la Baraka linanokwenda Tunduru. Nimeona tena hali ya ushindani na gari la Miningnice, zinafukuzana kwa mwendo wa hatari.

Tunapita vituo vingi vya Traffic sioni Askari kuingia katika basi kuuliza Wala hata kuhoji kwa abiria.

Hakika mwendo ni wa hatari, mtuombee tuu na kutupatia msaada.
Tulieni mtolewe kafara nyie. Hujui damu zenu Ndo maendeleo ya wengine?

Achani watu watafute hela kihalali.
 
Unataka bus likokotwe? mule wameweka speed zile wana maana yao ukitaka nunua gari lako Tembeza speed 10
 
Pamoja na jitihada zetu za kitokomeza ajali barabarani bado kampuni hizo tajwa hazijaelewa somo.

Nimesafiri na mabasi haya kwa nyakati tofauti tofauti na kujionea uvunjifu mkubwa wa usalama barabarani. Zaidi kwa route za kusini (Mtwara, Lindi, Masasi na Tunduru)

Na leo pia nimesafiri kwa basi la Baraka linanokwenda Tunduru. Nimeona tena hali ya ushindani na gari la Miningnice, zinafukuzana kwa mwendo wa hatari.

Tunapita vituo vingi vya Traffic sioni Askari kuingia katika basi kuuliza Wala hata kuhoji kwa abiria.

Hakika mwendo ni wa hatari, mtuombee tuu na kutupatia msaada.
Hujataja namba za basi husika na tarehe uliyosafiri
Asante
Tusaidie tuokoe roho za Watanzania wenzetu
 
We fala ni mpuuzi. Hujui chochote. Unajua kupanda na kushuka tu kwenye basi. Pongo...
Mjuze basi atoweke na huo upuuzi unaousema,,,

Tofauti na hapo we ndo mpuuzi ambae huenda unazungumza haya kwakuwa unanufaika na miamia zao.

Kwani kuna nin kwenye bus zaidi yakupanda na kushuka???

Utakaa stend miaka yako yote kuulizia safari za watu.
 
Mjuze basi atoweke na huo upuuzi unaousema,,,

Tofauti na hapo we ndo mpuuzi ambae huenda unazungumza haya kwakuwa unanufaika na miamia zao.

Kwani kuna nin kwenye bus zaidi yakupanda na kushuka???

Utakaa stend miaka yako yote kuulizia safari za watu.
tulia.
 
Pamoja na jitihada zetu za kitokomeza ajali barabarani bado kampuni hizo tajwa hazijaelewa somo.

Nimesafiri na mabasi haya kwa nyakati tofauti tofauti na kujionea uvunjifu mkubwa wa usalama barabarani. Zaidi kwa route za kusini (Mtwara, Lindi, Masasi na Tunduru)

Na leo pia nimesafiri kwa basi la Baraka linanokwenda Tunduru. Nimeona tena hali ya ushindani na gari la Miningnice, zinafukuzana kwa mwendo wa hatari.

Tunapita vituo vingi vya Traffic sioni Askari kuingia katika basi kuuliza Wala hata kuhoji kwa abiria.

Hakika mwendo ni wa hatari, mtuombee tuu na kutupatia msaada.
Mbali na mwendokasi, ile mikanda huwa kazi yake ni nini? sijawahi kuona ikimkaa vyema abiria isipokuwa kwa kina yokozuna (Wenye miili mikubwa zaidi). Nadhani ifike mahala TBS wajitafakari. Magari madogo ama hayohayo mabasi huwezi kuta siti ya dereva (bus) na siti zingine (light vehicles) zikiwa na yale makamba wanayoita mkanda. Mkanda wa seat ya gari unatakiwa kuwa automatic adjustable kulingana na size ya mwili wa abiria. Yani imefika hatua mkiendeshwa na dereva kichaa, mkiona bump mbele yenu, mnawahi kukinga meno yasibaki kwenye seat ya mbele yenu.
 
Usiogope , mwendo kasi usababisha ajali lakini kaa ukijuwa ajali nyingi ni za kafara

Je inakuwa vip kafara? Jibu kuvunja masharti. Kivipi?
Kuna boss ya kampuni moja la bus alipewa sharti hili;
Kwamba kila siku ya Mungu ni lazima agawe hela yeyote ambayo ni salafu, yaan 100 au 200 au 500 na aigawe mbali na mazingira anayo kaa e.g mjini huko au mtaa tofauti anaokaa.
Kwa nini aigawe mbali na anapokaa?
Eti mtu wa familiya yake mfano asende labda dukani akapewa hiyo hela. kwa ufupi hiyo hela hakutakiwa kupa mtu anaemjua bora awape wale omba omba wa mjini.

Kazi hiyo alitakiwa kuifanya kila siku kabla ya jua kuzama. Ahaaaaa si siku hiyo kasahau kutoa hiyo sadaka kabla ya jua kuzama? weeee bus lake lilichinja balaa.
 
Usiogope , mwendo kasi usababisha ajali lakini kaa ukijuwa ajali nyingi ni za kafara

Je inakuwa vip kafara? Jibu kuvunja masharti. Kivipi?
Kuna boss ya kampuni moja la bus alipewa sharti hili;
Kwamba kila siku ya Mungu ni lazima agawe hela yeyote ambayo ni salafu, yaan 100 au 200 au 500 na aigawe mbali na mazingira anayo kaa e.g mjini huko au mtaa tofauti anaokaa.
Kwa nini aigawe mbali na anapokaa?
Eti mtu wa familiya yake mfano asende labda dukani akapewa hiyo hela. kwa ufupi hiyo hela hakutakiwa kupa mtu anaemjua bora awape wale omba omba wa mjini.

Kazi hiyo alitakiwa kuifanya kila siku kabla ya jua kuzama. Ahaaaaa si siku hiyo kasahau kutoa hiyo sadaka kabla ya jua kuzama? weeee bus lake lilichinja balaa.
Ila hizi stori hazithibitishikagi kabisa.

Mi napenda tutafute sababu tunazoweza kuziendesha.

Mfano kufunga mkanda, kufanya service na kutengeneza barabara bora.

Kuhusu kasi wacha tu zitembee spidi kadri zinavyomudu kiusalama na kuzingatia barabara. Tusilazimishane 80 hata sehemu paliponyooka na hakuna msongamano
 
Back
Top Bottom