Baraka da prince aendelea kudukuliwa na viewers uko you tube.

Baraka da prince aendelea kudukuliwa na viewers uko you tube.

Ali Kiba ana roho mbaya sanaa... Sana sanaaa..

Ndio maana hafanikiwi.

Hivi anashindwa kujifunza kwa Diamond.


Huyo jamaa ndio maana anabambikiwa watoto sio wake tu na machangu. Jamaa lofa sana.
 
Ali Kiba ana roho mbaya sanaa... Sana sanaaa..

Ndio maana hafanikiwi.

Hivi anashindwa kujifunza kwa Diamond.
Ali Kiba kama angekuwa na tabia hiyo angeifanya kwa Dimond.....Huyu sio mpinzani wake,hajawahi Kuwa na hatokuwa.

Dogo afanye kazi na aache kulia lia
 
Ali Kiba kama angekuwa na tabia hiyo angeifanya kwa Dimond.....Huyu sio mpinzani wake,hajawahi Kuwa na hatokuwa.

Dogo afanye kazi na aache kulia lia


Diamond chama kubwa, anafanyakazi na watu wengi wanaojua mitandao vizuri. Kiba hawezi kufikia level zile, atawaonea haohao dagaa.
 
Sema hio ngoma ni kali sanaaa..

Btw nauza views kama uko interested njoo PM ....pesa kwanza mengine baadae maaba biashara hii ni illegal
 
Back
Top Bottom