Baraka da Prince amtambulisha Naj nyumbani

Mshana acha hizo bwana 15 yrs in Marriage? wakati umemaliza shule advance 2008 kwa hiyo ulioa wakati upo darasa la pili?
Naamini utakuwa umenifananisha huo mwaka 2008 tayari nilikuwa nimeshafikisha miaka 7 kwenye ndoa na nilikuwa kazini
 
Mshana acha hizo bwana 15 yrs in Marriage? wakati umemaliza shule advance 2008 kwa hiyo ulioa wakati upo darasa la pili?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Naamini utakuwa umenifananisha huo mwaka 2008 tayari nilikuwa nimeshafikisha miaka 7 kwenye ndoa na nilikuwa kazini



hahahahhaha; wakati ulikuwa adv form 6 Jamuhuri upo na akina Beda hahahhaa
 
Kuonja ni lazima,uwezi nunua kiatu bila ya kukijaribisha.
 
Yule binti aliemzalisha mtoto pale iringa masikini ndio kaachwa...wameanza maisha wote wakiwa zero....kafanikiwa kahamisha kambi....poleni wasichana wote
 
Yule binti aliemzalisha mtoto pale iringa masikini ndio kaachwa...wameanza maisha wote wakiwa zero....kafanikiwa kahamisha kambi....poleni wasichana wote


Tatizo wasichana wa Iringa wavivu kunywa maji. Masuper star wanapenda wanawake weupe wakipigwa picha na Shigongo wanapendeza. Sio mademu weusi kama lami. Huyo wa Iringa mwambieni aongezee mikorogo kwanza
 
hv huyo naj ndo yule ambaye ashakuwaga demu wa blue na diamond au?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…