Ney hajawahi kufanya hiphop, anaropokaropoka tu juu ya beat. Usimfananishe Chid na mambo ya kipumbavmbana pua nae atasema ney anatafuta kiki,mwenzio ana hit kali za hip hop ingawa mipasho anawakilisha,kinachoangaliwa pale ni kunata na beat na kucheza mulemule wanamosema,kiukweli m bongo nilikua namkubali chid alivyopotea Nay kacukua kijiti.hawa ndio wasanii wa hip hop unaweza kuwasikiliza ukaenjoy beat kali na manjonjo wengine hadthi nyiiingi politiki jukwaani
Jamaa ni mshamba....yule demu kwake sijui ni ngekewa!!?Kumbe huyu dogo hana akili ,yaani hiyo ishu nayo ya kumind
Ni msukuma ndio maana , halafu niliona jana kwenye interview anamuita 'mkewangu' wakati hata pete ya uchumba hajamvishaJamaa ni mshamba....yule demu kwake sijui ni ngekewa!!?
Sio msukuma jana mdogo wake kahojiwa kasema wanakaa tu mwanza ila wao ni wajaluoNi msukuma ndio maana , halafu niliona jana kwenye interview anamuita 'mkewangu' wakati hata pete ya uchumba hajamvisha
Mdogo wake nae ni usiku au yeye angalau alasiri?Sio msukuma jana mdogo wake kahojiwa kasema wanakaa tu mwanza ila wao ni wajaluo
Wasanii wote ni mamwinyi sidhani kama Meneja wao anaweza kuwamudu. Mwenzake WCB anapangiwa cha kusema na kuzuiwa ni kipi asiseme. Umeneja sio shule ni kipaji.Seven Mosha anakazi ya kuwapiga msasa wasanii wake wa rockstar
Alikiba na baraka da prince
Wanapofanya interview waongee nini, hawa vijana interview zao ni za hovyo
JaluoNi msukuma ndio maana , halafu niliona jana kwenye interview anamuita 'mkewangu' wakati hata pete ya uchumba hajamvisha