Acha hizo mkuu.Nyumba au michanga?
Angle ya picha hiyo.Hujasoma geography nini?Mbona imekaa kama inataka kuanguka au kajenga kwenye mawe kwao nyamagana
Una miakiliiiiii.Jiwe juu ya jiwe.Na washkaji wa Nigeria kwake sio number one wa kumpeleka madukani Sauzi beach kununua vifaa vya ujenzi zaidi ya kutumia bidhaa halisi za Kitanzania kuonesha ana upendo na cha kwao.
Mbona ananyimbo zaidi ya 4, pia anaonekana anajielewa. Hongera kwake kama kwel ni nyumba yakeYaani single moja tu, hakuna unga hapa kweli? Kazi zake za kizushi zinasimamiwa na Clouds au? Kama kuna mkono wa clouds hapa basi najuwa ni nini kilicho muwezesha kujenge hiyo nyumba.
Mkuu kwani hujui JF kuna matajiri tupu na watu perfect?!!!Baada ya kusoma Comments za wachangiaji, Nimegundua wengi hawapendi Maendeleo ya dogo,
Inaumiza sana unapoona unajitahidi kupigana halafu kuna wengine wanaleta dharau, mara unga, mara sijui vitu gani.
akikaa kimya watamsema vilevile,
Kweli Ubinadamu Kazi.....Bell 9
Sasa huyu dogo kuna sehemu alisema watu wamekuwa wakihoji Baraka una nini???
Na yeye kasema jibu lake ilikuwa Tunatofautiana, Lakini akaamua kuonesha alicho nacho ambayo ni nyumba na gari.
sasa hii ya watu kutaka kufanana, haiwezekani mfanane.
Upo kazini miaka 20 huna hata kipanda, kaja mwanao ana miaka 3 kazini Nyumba na Gari, Mashamba na Biashara tayari. So Mkitaka kufanikiwa watakieni wengine Mafanikio kwanza,
Ndiyo maana..Kisha ayubu akabarikiwa mara dufu baada ya kuwaombea marafiki zake...
Ukitaka kufanikiwa usiwe na roho ya kwa nini.
Mkuu mimi nilikuwa nawaza kama hivi yaani.Ase, yani kajenga nyumba na girlfriend? Mke tu watu wanaogopa
Mtakufa mkiwa mmesimama dede yani Karne hi ya 21 bado unaogopa kujenga nyumba na mkeo unataka ujenge nyumba ukiwa na hawara/mchepuko?Mkuu mimi nilikuwa nawaza kama hivi yaani.
Jamaa ana roho ngumu
haya ndio mambo ya malaikana gar lake kumbe anaendesha hata kadi ya gar hana hawa sio wakuwaamin kabsa ni kama wema kununua nyumba ya milion 400 ....wakumuamin ni ay yeye anavitu ving ila yupo private kujuaHao ni wasanii huwezi kujuwa ni muda gani huwa wapo kwenye maigizo yao na muda gani wapo kwenye maisha halisi.
Umenikumbusha kitu chiefHao ni wasanii huwezi kujuwa ni muda gani huwa wapo kwenye maigizo yao na muda gani wapo kwenye maisha halisi.