Baraka Da Prince asapoti wimbo mpya wa Diamond, awashukia wanaompangia cha kuandika

Baraka Da Prince asapoti wimbo mpya wa Diamond, awashukia wanaompangia cha kuandika

Ili jamaa nalichukia aise na weusi wake anajiona kawin sana maisha akati kakuta watu kwenye gemu sa kina AY , joh makini wangekua hivo ingekuwaje...ustaa unamsumbua uyo dogo
Unamchukiaaa ??:chuki lako kinyesi tu.
 
Sasa mnataka asimsapoti msanii mwenzake mbona wazee wa kariakoo mna gubu hivi?
 
Hallelujah is a Hebrew word meaning “praise ye YAH (Yahweh).” Domo ameianza safari ya kuimba gospel mabwaku!!!!kiba kaimba peke yake unafananisha vp
 
Msanii mdogo kama Baraka kujiingiza kwenye vijembe tena vilivyoambata na matusi ambayo yawezekana yanawalenga mashabiki zake ni hatari sana kwa career yake. Huyu Msanii nazani bado ni Mtoto sana kifikra nimewahi kusikia interview zake mbili akibanwa sana na maswali anasemaga ntasema kwa baba ni polisi mwanza.. he need to grow up
 
Huyu Dogo anaharibu mziki wake....Anajiingiza kwenye vita vya Diamond na Ali kiba bila sababu yoyote.

Pengine Ana imani Wasafi watampa record label ila kitu anachokifanya hata wakina Harmonise,Raymond na Mavoko hawawezi kuthubutu kufanya.

Angeweza kufanya muziki wake bila kujiingiza kwenye malumbano.
 
Usanii wa bongo ni majungu tupu,halafu eti nao wanataka wawe kama kina usher rymond thubutu
 
Huyu hana sifa za uume huwa namshangaa sana kwani kukosana na mtu ndo mpk uwe unamtukana?
 
Back
Top Bottom