Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Niliona jana walivyokuwa wanatupiana maneno EA redioN lini tena iyo imetokea maana baraka naye kazidii
huyu underground naye anatafuta kiki tu.ata
Baraka da prince aliumbuliwa vibaya kwenye studio za East Africa Radio baada ya kualikwa yeye na msanii waliyekuwa studio moja huko Mwanza, msanii huyo alisema baraka alimuibia nyimbo ya 'Baby sio fine' lakini baraka akabisha, alipozidi kubanwa akawa ana hasira na kutaka kuondoka studio
Ila msanii Mo music ambaye alikuwa na Baraka studio hiyo moja alithibitisha baraka kuwa hiyo nyimbo sio ya kwake
....sasa na wewe mama ntilie,hizi stori zinahusiana nini na uzi;ndo tuone unamjua sana,ama?Huyu dogo Baraka nimemuuzia msosi na sometime akifulia alikula fello unaojulikana kama ukoko pale mgahawani kwetu maeneo ya Mabatini mwanza.
Dogo sidhani kama katoka familia bora kama anavyokariri!? Na ana maqwere kibao sijui usupastaa umemzidi uzito?