Baraka Da Prince kuwa matatani

Baraka Da Prince kuwa matatani

Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa, alijisahau akaanza kunywa bia ndipo Hali ikabadilika Sana, Kumbe hata kuachana na mpenzi wake kisa madawa na kutoka Rock star sababu alijiingiza Kwenye madawa walimkataza lakini kijana wapi haelewi Kabisa mpaka alitaka kuuza nyumba yake iliyoko jijini mwanza maeneo ya nyamongolo. Unajua wanamziki wanahalibiwa na jamaa hawa wa clouds [emoji343] na [emoji342] jamani pesa tutafute kihalali asante. #
Kila apandalo mtu, ndilo huvuna.
 
Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa, alijisahau akaanza kunywa bia ndipo Hali ikabadilika Sana, Kumbe hata kuachana na mpenzi wake kisa madawa na kutoka Rock star sababu alijiingiza Kwenye madawa walimkataza lakini kijana wapi haelewi Kabisa mpaka alitaka kuuza nyumba yake iliyoko jijini mwanza maeneo ya nyamongolo. Unajua wanamziki wanahalibiwa na jamaa hawa wa clouds [emoji343] na [emoji342] jamani pesa tutafute kihalali asante. #
INATOSHA SASA TUSHABEBA SANA UNGA SHIDA YETU MCHELE SO TUBEBESHENI MPUNGA.
 
Onani oh nene...chu olibhebhe ! Teh teh. Avatar zingine buana!

Hawa vijana baadhi yao katika tasnia ya sanaa, wanahusishwa sana na hizo kashifa.

Inafaa wamulikwe na kuchukuliwa hatua kwa wanaohusika.
Ho Nene wamayo sakasaka mao . Diamond anafanya kazi nzuri japo anapigwa Vita Sana lakini watu wananufaika kiuchumi
 
Huyo msukuma haji kutoa single kama Siachani nawe!!..
Huyo Sio msukuma japo kazaliwa mwanza pale usitawi lakini niwajaluo lakini sijui yy anajiita msukuma Ama mjaruo ndo maana interview yake ya mwisho walimuhoji ww Utakuwa raia wa wap? Kenya au Tz hakunyambua vizuri
 
Huyu jamaa jana sudi ameongea nae kwa simu nadhani ilikua recorded hile kuwa ametapeli hela ya dalali ya kupangisha nyumba tegeta huko

Dalali alisema aliombwa na baraka za simu ili hela ya dalali alipwe kwa njia ya simu na mpenz wake ambaye ni naj aliyeko kenya sasa kama baraka nae yuko kenya kama kuna kaukwel lkn ngoja tusikie ukwel kwa wenyewe kama itachukua muda mrefu basi wanasubiri apone
 
unajisikiaje mshikaji wako hazard kuihama Chelsea?
Najisikia kama sergio hapo....c. pulisic
FB_IMG_15639593361961365.jpeg
 
Back
Top Bottom