Aisee. Jina linasadifu unachoandika. Yanga ni bora East Africa? Hebu tuambie ni mechi gani inayohusisha timu toka ukanda wa Afrika mashariki ambayo mlishapata walau sare?Kwa sasa Yanga ndio timu Bora zaidi hapa nchini Tanzania na ukanda wa East Africa.
Huu ndio ukweli mchungu kwenu ninyi wanasimba. Mkiukubali ukweli huu mtaishi maisha ya furaha na amani kuliko huku kulia Lia Kila siku.
Yaani baraka mpenja kuongea ukweli kwenu imekuwa nongwa???
Kumbe kipindi alivokuwa anawasifia wachezaji wa Simba kipindi kile Simba anachukua makombe mfululizo haikuwa ubora wa Simba bali ilikuwa mnampa mlungula ili awasifie eti??Mpenja siku hizi maneno mengi sana mpaka amepoteza mvuto.
Anafukuzia uteuzi utopoloni ndiyo maana ukimchunguza akitangaza mechi za yanga anapamba kila mchezaji.
Akitangaza simba utasikia "leo hakuna cha salute"... Mara "yaliyomo yamoo?"
Gharib Mzinga afadhali bado anazingatia weledi wa kazi.
Uelewa wako mdogo sana.Kumbe kipindi alivokuwa anawasifia wachezaji wa Simba kipindi kile Simba anachukua makombe mfululizo haikuwa ubora wa Simba bali ilikuwa mnampa mlungula ili awasifie eti??
Shtuka we dunduka mambo yamebadilika Yanga ndio talk of the town kwa sasa mpira mwingi unapigwa, makombe yote yanachukuliwa
SimbaAisee. Jina linasadifu unachoandika. Yanga ni bora East Africa? Hebu tuambie ni mechi gani inayohusisha timu toka ukanda wa Afrika mashariki ambayo mlishapata walau sare?
Kwa haraka tuanze na mechi dhidi ya Vipers halafu tuendelee na zingine.
Acha uongo, huo ni uongo bwana aaaaaah huo ni uongo[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa kifupi ni kuwa watangazaji wanajua Yanga ndio sehemu unaweza kupata ajira bila kujua chochote kuhusu taasisi. Cha muhimu wadanganye wao ni bora utapata ajira bila kufuata utaratibu na bila ushindani wowote.
Acha uongo, huo ni uongo bwana aaaaaah huo ni uongo[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa kifupi ni kuwa watangazaji wanajua Yanga ndio sehemu unaweza kupata ajira bila kujua chochote kuhusu taasisi. Cha muhimu wadanganye wao ni bora utapata ajira bila kufuata utaratibu na bila ushindani wowote.
Mkuu kwani Simba inatokea west Africa?? Si hapa hapa Africa Mashariki na juzi Tu wametoka kupasuka Kwa Yanga 2-1 magoli ya Mayele au[emoji3][emoji3]Aisee. Jina linasadifu unachoandika. Yanga ni bora East Africa? Hebu tuambie ni mechi gani inayohusisha timu toka ukanda wa Afrika mashariki ambayo mlishapata walau sare?
Kwa haraka tuanze na mechi dhidi ya Vipers halafu tuendelee na zingine.
Rage ajengewe sanamuUelewa wako mdogo sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si unaona sasa kumbe mtu mwenyewe ni mbumbumbu kiasi hiki, na bado unamlalamikia baraka mpenja kuwasifia Yanga Kwa kutandaza kabumbu safi..Aisee. Jina linasadifu unachoandika. Yanga ni bora East Africa? Hebu tuambie ni mechi gani inayohusisha timu toka ukanda wa Afrika mashariki ambayo mlishapata walau sare?
Kwa haraka tuanze na mechi dhidi ya Vipers halafu tuendelee na zingine.
Kwa hiyo Simba ndio kipimo cha kuwa Bora EA?Simba
Haya tuambie kina nani waliitwa kwenye interview zilizowapa ajira Kamwe na Priva?Acha uongo, huo ni uongo bwana aaaaaah huo ni uongo[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hiyo kuifunga timu moja tena ambayo hujawahi kuifunga kwenye ligi ndio inakufanya kuwa bora kwenye nchi zaidi ya 5?Mkuu kwani Simba inatokea west Africa?? Si hapa hapa Africa Mashariki na juzi Tu wametoka kupasuka Kwa Yanga 2-1 magoli ya Mayele au[emoji3][emoji3]
Ninekuuliza ni timu zipi ulizozifunga hadi uwe Bora EA? Hujawahi kufunga timu yoyote ya nje ya TZ iliyo jumuiya ya EA.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si unaona sasa kumbe mtu mwenyewe ni mbumbumbu kiasi hiki, na bado unamlalamikia baraka mpenja kuwasifia Yanga Kwa kutandaza kabumbu safi..
Nikukumbushe tu kuwa bado tuna miaka mingi sana ya kuendelea kuwanyanyasa uwanjani na nje ya uwanja madunduka nyie
Wewe pia utuambie nani na nani walioitwa kwenye interview iliyompa ajira Barbara Gonzalez pale Simba?? Tena Barbara ni ntendaji mkuu wa timu, wakati Hawa unaowaongelea ni wapiga kelele tu timuHaya tuambie kina nani waliitwa kwenye interview zilizowapa ajira Kamwe na Priva?
Wale wale walioitwa kumpatia Senzo ajira ya cheo kisichokuwepo utopoloni na ndio haohao walioitwa kwenye interview iliyompa ajira CEO wa sasa wa UtopoloWewe pia utuambie nani na nani walioitwa kwenye interview iliyompa ajira Barbara Gonzalez pale Simba?? Tena Barbara ni ntendaji mkuu wa timu, wakati Hawa unaowaongelea ni wapiga kelele tu timu
Rage aliona mbali sana aisee kumbe mpo weupe sana vichwani[emoji848][emoji848][emoji848]
Ngoja nikufundishe kitu we mbumbumbu maana rage hakuwaita ilo jina Kwa bahati mbaya.Ninekuuliza ni timu zipi ulizozifunga hadi uwe Bora EA? Hujawahi kufunga timu yoyote ya nje ya TZ iliyo jumuiya ya EA.
Rage alisema washabiki wote wa Simba ni mbumbumbu iyo hapo clip Tena mkutano mkuu wa klabu, Sasa unategemea mtu kama huyu atakuwa na uelewa wa kujibu hoja ngumuThe way unavyo criticize unaonekana ni shabiki Lia Lia wa Simba nilitaraji wewe unaemkosoa aliyeegemea upande mmoja na wewe usingeli egemea upande mmoja ilihitajika mizania (kuzungumza soka na si ushabiki)
Sasa ndio umethibitisha kauli ya Karia kuwa mna kinyesi. Ubora wa timu hupimwa kwa kushiriki mashindano na kushinda timu zingine. Hauwezi kusema timu ni bora kwa kuangalia ligi yako pekee we kiazi cherema.Ngoja nikufundishe kitu we mbumbumbu maana rage hakuwaita ilo jina Kwa bahati mbaya.
Iko hivi, ligi ya Tanzania ndio ligi Bora Kwa sasa ukanda wa Afrika mashariki, na Yanga ndio bingwa wa makombe yote kwenye nchi yenye ubora kuliko nchi zote East Africa pia ndio anaongoza kwenye ligi yake.
Ukisema ni timu zipi Yanga imezifunga jibu ni rahisi tu, Zalani F.C inatoka Sudan kusini na ni miongoni mwa nchi zilizopo jumuiya ya East Africa. Yanga iliifunga Zalan goli 9-0
NB:Matokeo ya mechi ya kirafiki hayajawahi kuhesabiwa mahala popote pale Dunia ndio maana ikaitwa friendly match, Sasa unachekesha pale unapofurahia Yanga alifungwa na vipers ya Uganda friendly match huku ukisahau Simba alifungwa na Alta Solar ya Djibout