Mangungo II JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 18,133 Reaction score 26,766 Dec 3, 2016 #21 Mr.Wenger said: View attachment 442402Hata Van Damme alifungwa msalabani na Cyborg Click to expand... Enzi zile tulikuwa tunaiita hii muvi "Damme msalabani"
Mr.Wenger said: View attachment 442402Hata Van Damme alifungwa msalabani na Cyborg Click to expand... Enzi zile tulikuwa tunaiita hii muvi "Damme msalabani"
Big Deal Senior Member Joined Nov 13, 2016 Posts 174 Reaction score 79 Dec 3, 2016 #22 Hapana waislam hatutaki ujinga na imani yetu...upo sawa Baraka hajafanya sawa cheza na vitu vyoooote siyo imani.
Hapana waislam hatutaki ujinga na imani yetu...upo sawa Baraka hajafanya sawa cheza na vitu vyoooote siyo imani.
Leak JF-Expert Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,916 Reaction score 43,505 Dec 3, 2016 #23 Mentor said: Again, sijaona offence yoyote kwa alichofanya Eric Omondi. Hapo hakuwa na lengo la kuchekesha but kufikisha ujumbe kwa Wakristo wenzake. Click to expand... Hebu ni kumbushe Mentor maana siku moja nilipata kuangalia video hii ya anayeitwa yesu na nina kumbuka kulikuwa na watu watatu na mwizi alikuwepo pale kwenye misalaba ...Hivi Eric si alimaanisha yule mwizi amesamehewa?
Mentor said: Again, sijaona offence yoyote kwa alichofanya Eric Omondi. Hapo hakuwa na lengo la kuchekesha but kufikisha ujumbe kwa Wakristo wenzake. Click to expand... Hebu ni kumbushe Mentor maana siku moja nilipata kuangalia video hii ya anayeitwa yesu na nina kumbuka kulikuwa na watu watatu na mwizi alikuwepo pale kwenye misalaba ...Hivi Eric si alimaanisha yule mwizi amesamehewa?
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Dec 4, 2016 #24 kwani Yesu ndiyo wa kwanza kusulubiwa?
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,956 Reaction score 14,032 Dec 4, 2016 #25 Nyani Ngabu said: Hahaaa....ina maana Waslamu akili zao ni fupi na matajiri wa jazba? Kuna ka ukweli hapo... Click to expand... Tena kakubwaa sana
Nyani Ngabu said: Hahaaa....ina maana Waslamu akili zao ni fupi na matajiri wa jazba? Kuna ka ukweli hapo... Click to expand... Tena kakubwaa sana