Barakah Da Prince asusia interview

Itakuwa hivyo tu maana watu washaanza kupakazia huku mitaani kuwa Mbosso vocha yake ya tigo inakwanguliwa sana na Diamond kujaza bando kunako chembani kiasi kwamba mpaka dogo kalegea kinoma.
 
Apo kwa kiba ni kweli yani jamaa akienda na demu hotel au nyumbani kwake ni lazima aliwe jicho yani ndio yupo ivyo
 
Anamsusia nani? Ndio maana kapotea kwenye game
 
Mauganga yao na masgarti.....khaaa Ali Kiba nae ana kashfa sana kuwaf.
.....wanaume wenzake mbayaaaa
 
Somo kubwa walevi wenzangu hapa ni kuwa wakitulilia shida tuwajibu hatuna kitu FULLSTOP na kamwe tusiwanunulie bia maana kumbe wanageuka kuwa wake zetu kwa kukagua kama kweli hatuna hizo hela.nyima bia pia
 
Video is where of baraka going fast-fast in the door of studio when people of studio asking baraka about discipline of him?

Video is where I ask?
Serikali ikazie hapo hapo
No Banga smokaz😅
 
Huyu mbuzi anajionaga mbuzi kinoma,Anyway Kuna wasanii wawili bongo ambao walishawahi ninyoosha kwenye interview,yupo huyu na Kiba yaani wanaweza kukuumbua hewani ukiwahoji pumba au wasichotaka kusikia.
Umemsahau T.I.D wakujiiita TOP IN DAR anakushushua anakwambia kwanza mtangazaji unanuka mdomo,unamrushia mate,what the helll men usinisogeleeee hebu ushanijambiaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…